Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
ADMIN/MOD: Naomba msibadilishe HEADER ya hii thread, haiko offensive na inajitosheleza
Ohh GQ maaanake ni GENTLEMAN'S QUARTERLY (ni magazine ya ma gentlemen na limejaa advise on how to dress)
Naona tangu CISCO aondoke JK anazidi KUVURUNDA kwenye department ya KIVAZI sasa sijui huyo chief of protocol mpya hawaendani au sijui vipi...anyway on a serious note:
Moja kati ya vitu ambavyo nimegundua vijana wengi wakibongo tuko USELESS basi ni kwenye kudress. Utakuta mtu ana pesa nyingiii lakini hajui kuvaa. Sijui labda nimekuwa nina mambo ya British sana lakini personally i believe IMAGE IS EVERYTHING na in this day and age hata kama unaenda dukani kununua gazeti lazima utoke SMART.Na waingereza siku zote huwa ni mstari wa mbele kwenye hilo..japo wengine watasema kuwa waFaransa kiboko lakini nothing beats ENGLISH GENTLEMAN....surely kwa wenyeji wa London mtajua kuwa SAVILLE ROW ndiko mahala pa kununua suti kama una mifuko mirefu.
Pamoja na kuwa masista wengi wa KiTZ ni ma OVERWEIGHT lakini wanajitahidi sana kupendeza. Sasa sisi sijui ndio nini utakuta mtu anaendesha gari zuriiii lakini akiteremka utaona mguuni kavaa SANDALS za chooni!
Haingii akilini
kwa kuanza tuu its important ukitaka uonekane kuwa ni Gentleman ukavaa sutu na hicho kitambaa cha mfko wa suti kikawepo pia
Hapa jamaa amevaa a french-cuff, that is why there is a gentle roll to the cuff edge.
Sina hakika kuhusu Saa jinsi ilivyokaa lakini I think it is a nice detail. Depending on the watch it is a show of style. (typical advertiser or media, or fashion guy)Nadhani in my opinion hiyo saa itakuwa classic black Swatch with white dials.A rolex or Omega to this works well as it does show that class you want to show with wearing this type of suit.
wenye mawazo wengine endeleeni kuchangia mawazo yenu...surely byMID2009 tutakuwa tumejirekebisha kwa kiasi kikubwa kwenye dept ya Kivazi
Ohh GQ maaanake ni GENTLEMAN'S QUARTERLY (ni magazine ya ma gentlemen na limejaa advise on how to dress)
Naona tangu CISCO aondoke JK anazidi KUVURUNDA kwenye department ya KIVAZI sasa sijui huyo chief of protocol mpya hawaendani au sijui vipi...anyway on a serious note:
Moja kati ya vitu ambavyo nimegundua vijana wengi wakibongo tuko USELESS basi ni kwenye kudress. Utakuta mtu ana pesa nyingiii lakini hajui kuvaa. Sijui labda nimekuwa nina mambo ya British sana lakini personally i believe IMAGE IS EVERYTHING na in this day and age hata kama unaenda dukani kununua gazeti lazima utoke SMART.Na waingereza siku zote huwa ni mstari wa mbele kwenye hilo..japo wengine watasema kuwa waFaransa kiboko lakini nothing beats ENGLISH GENTLEMAN....surely kwa wenyeji wa London mtajua kuwa SAVILLE ROW ndiko mahala pa kununua suti kama una mifuko mirefu.
Pamoja na kuwa masista wengi wa KiTZ ni ma OVERWEIGHT lakini wanajitahidi sana kupendeza. Sasa sisi sijui ndio nini utakuta mtu anaendesha gari zuriiii lakini akiteremka utaona mguuni kavaa SANDALS za chooni!
Haingii akilini
kwa kuanza tuu its important ukitaka uonekane kuwa ni Gentleman ukavaa sutu na hicho kitambaa cha mfko wa suti kikawepo pia
Hapa jamaa amevaa a french-cuff, that is why there is a gentle roll to the cuff edge.
Sina hakika kuhusu Saa jinsi ilivyokaa lakini I think it is a nice detail. Depending on the watch it is a show of style. (typical advertiser or media, or fashion guy)Nadhani in my opinion hiyo saa itakuwa classic black Swatch with white dials.A rolex or Omega to this works well as it does show that class you want to show with wearing this type of suit.
wenye mawazo wengine endeleeni kuchangia mawazo yenu...surely byMID2009 tutakuwa tumejirekebisha kwa kiasi kikubwa kwenye dept ya Kivazi
Last edited: