Watu Muhimu katika Historia ya Nchi yetu

Leta picha



=======

na yule jamaa mweingien wa Zanzibar aliyekimbilia Guinea Bissau halafu akarudi na kunyongwa (sikumbuki tena jina lake kwa vile kasahaulika kabisa)
...anaitwa Abdallah Kassim Hanga, ambaye Nyerere alimrubuni Sekou Toure amrejeshe kwa kumhakikishia kuwa hatamdhuru, matokeo yake (kama Mobutu alivyomkabidhi Lumumba kwa wauwaji wake) ndiyo hivyo hivyo Nyerere alimkabidhi Hanga na Othman Shariff kwa Karume,akawanyonga na mapaka hivi ninvyoandika makaburi ya wazalendo hawa hayajuulikani yalipo. Kibaya kuliko yote ni kuwa Hanga kabla ya kupelekwa "kwa Mandera au kwa Bamkwe" (gereza la mateso na mauwaji kule zanzibar enzi za Karume) alimdhalilisha hadharani na kumwita msaliti, licha ya Wazee wa Iringa kule kumsihi na kumpigia magoti Nyerere wakimtaka asiwapeleke Hanga na Shariff kwa Karume, Nyerere hakusikia la muadhini wala mteka maji msikitini, aliwapeleka na Karume akawanyongelea mbali. zidumu fikra zake!!!!
 
...anaitwa Abdallah Kassim Hanga, ambaye Nyerere alimrubuni Sekou Toure amrejeshe kwa kumhakikishia kuwa hatamdhuru, matokeo yake (kama Mobutu alivyomkabidhi Lumumba kwa wauwaji wake) ndiyo hivyo hivyo Nyerere alimkabidhi Hanga na Othman Shariff kwa Karume,akawanyonga na mapaka hivi ninvyoandika makaburi ya wazalendo hawa hayajuulikani yalipo. Kibaya kuliko yote ni kuwa Hanga kabla ya kupelekwa "kwa Mandera au kwa Bamkwe" (gereza la mateso na mauwaji kule zanzibar enzi za Karume) alimdhalilisha hadharani na kumwita msaliti, licha ya Wazee wa Iringa kule kumsihi na kumpigia magoti Nyerere wakimtaka asiwapeleke Hanga na Shariff kwa Karume, Nyerere hakusikia la muadhini wala mteka maji msikitini, aliwapeleka na Karume akawanyongelea mbali. zidumu fikra zake!!!!

Mtoto mmoja wa Kike wa Marehemu Kassim Hanga ni Muandishi wa Habari Mahiri Nchini Russia....Nakumbuka katikati ya Miaka ya 90 alirudi Nyumbani (Tanzania)ili kuja kuandika Historia ya Baba yake......Ni muandishi wa Habari na Mtangazaji wa Television ya HTV Nchini Russia.
 
...anaitwa Abdallah Kassim Hanga, ambaye Nyerere alimrubuni Sekou Toure amrejeshe kwa kumhakikishia kuwa hatamdhuru, matokeo yake (kama Mobutu alivyomkabidhi Lumumba kwa wauwaji wake) ndiyo hivyo hivyo Nyerere alimkabidhi Hanga na Othman Shariff kwa Karume,akawanyonga na mapaka hivi ninvyoandika makaburi ya wazalendo hawa hayajuulikani yalipo. Kibaya kuliko yote ni kuwa Hanga kabla ya kupelekwa "kwa Mandera au kwa Bamkwe" (gereza la mateso na mauwaji kule zanzibar enzi za Karume) alimdhalilisha hadharani na kumwita msaliti, licha ya Wazee wa Iringa kule kumsihi na kumpigia magoti Nyerere wakimtaka asiwapeleke Hanga na Shariff kwa Karume, Nyerere hakusikia la muadhini wala mteka maji msikitini, aliwapeleka na Karume akawanyongelea mbali. zidumu fikra zake!!!!

Ina maana Karume nae alikua muuaji au?
 
...anaitwa Abdallah Kassim Hanga, ambaye Nyerere alimrubuni Sekou Toure amrejeshe kwa kumhakikishia kuwa hatamdhuru, matokeo yake (kama Mobutu alivyomkabidhi Lumumba kwa wauwaji wake) ndiyo hivyo hivyo Nyerere alimkabidhi Hanga na Othman Shariff kwa Karume,akawanyonga na mapaka hivi ninvyoandika makaburi ya wazalendo hawa hayajuulikani yalipo. Kibaya kuliko yote ni kuwa Hanga kabla ya kupelekwa "kwa Mandera au kwa Bamkwe" (gereza la mateso na mauwaji kule zanzibar enzi za Karume) alimdhalilisha hadharani na kumwita msaliti, licha ya Wazee wa Iringa kule kumsihi na kumpigia magoti Nyerere wakimtaka asiwapeleke Hanga na Shariff kwa Karume, Nyerere hakusikia la muadhini wala mteka maji msikitini, aliwapeleka na Karume akawanyongelea mbali. zidumu fikra zake!!!!

Nadhani tumesahau kumpa Mkandara listi yake

1. Abdulwahid na Ally Sykes,
2. Dossa Aziz,
3. John Rupia,
4. Mshume Kiyate,
5. Makisi Mbwana,
6. Jumbe Tambaza,
7. Juma Waziri,
8. Clement Mtamila,
9. Rajabu Diwani,
10. Schneider Plantan,
11. Marsha Bilali,
12 Rashid Ally Meli,
13. Frederick Njiliwa,
14. Iddi Faiz Mafongo,
15. Iddi Tulio,
16. Denis Phombeah
17. Joseph Kimalando
18. Japhet Kirilo
19. Rajab Chamshama
20. Robert Otieno
21. Mzee Mwinshehe Manga Mtemvu
22. Ally Mwinyi Tambwe
23. Dk. William Mwanjisi
24. Sheikh Suleiman bin Said na mdogo wake Ali
25. Sheikh Hassan bin Hassan Mchendange, Mmakonde kutoka Mikindani
26. Sheikh Ahmed Mohamed Ghazal, Mwarabu kutoka Mombasa;
27. Sheikh Abdallah wa Mwalimu;
28. Mohamed bin Abdallah
29. Sheikh Fumai bin Silim, Mmakonde mwingine wa Mikindani.


Hapo bado hatujataja sehemu alikokuwa analazwa Julisi Nyerere na wajanja waliokuwa wanamweka mjinii enzi hizo

wengine najua asubuhi MASATU atauletea listi
 
Ina maana Karume nae alikua muuaji au?
Ukiona tunalia hapa, tunapiga kelele na CCM&SMZ unaona kama si wazalendo au tunachuki binafsi,hapana ndugu yangu, nchi hii imefanyika mambo makubwa,yanatisha. Imagine unakuwa unapata fahamu zako unaambiwa mzee wako ameuliwa lakini alipozikwa hapajuulikani , ukiuliza unaambiwa usikumbushe mambo ya zamani yaliyopita ndo yamepita, roho ya mzee wako!!
Karume alikuwa muuwaji na mtesaji hakumchelea yeyote. Hata akina Bibi Titi waliposhikishwa adabu na Nyerere aliwapeleka zanzibar(kiinua Miguu) walikoteswa na kuchokorwa kila tundu ya mwili.
 
Ina maana Karume nae alikua muuaji au?

unauliza Tende BAGHADADI? halafu unajua karume alikuwa kama sadist hivi na ukitaka habari za karume mtafute bwana mmoja anaitwa KEPTENI MALIKI yuko Dar atakupa stori za Karume mka utakimbia mwenyewe

Kwa yeyeote anayejua historia ya Tanzania atakuambia kuwa Nyerere alikuwa na jela zake mithili ya GULAG za stalin ambazo walipelekwa akina Abdillah Schneider Plantan, Sheikh Abdulkarim Abdulwahid, Maalim Popo Saleh, Suleiman Masudi Mnonji, Ali Migeyo, Mufti Sheikh Hassan bin Amir, Sharff Hussein Badawiy, Shariff Mwinyibaba na Shariff Adnan...yap listi haishii hapo inaendelea walikuwepo akina Bilali Rehani Waikela, Sheikh Jumanne Bias, Maalim Matar, Abdalah Mwamba, Sheikh Hashim Haji Abdallah, Sheikh Nurdin Hussein, Salum Abdallah Popo, Sheikh Mzee Ali Comoriam, Sheikh Al Amin Maftah, Rajab Kiguu cha Mbuzi na wengine wengi.

Karume yeye alikuwa hana cha mswalie mtume maana yeye alikuwa anatesa na kuua bila huruma

Nyerere on the otherhand aliamua kuajiri ma Pro kufanya uuaji na mateso kwa niaba yake
 
Ukiona histaria ya nchi imejaa wazee wa politiki uje kuna uongo mwingi.

Kuna wale wasomi kama yule mzee rwegalulia amabye chuo cha maji kilipwa jina lakke kwa sababu alikuwa ndio muafrika wa kwanza msomi zaidi wkenye sekta ya hydrology.. Kuna wasomi wengi kama huyu walikuwa wana mawazo mazuri ambao ndio hasa walitakiwa kuwa kwenye vitabu vya historia lakini ndio hivyo walinyamazishwa.

Jaji Rugakingira alitakiwa awepo wakati huu wa kesi za ufisadi labda ni katika majaji wachache walogooma kuburuzwa na serikali.

Kundi la wanasiasa wako wengi sabbau wanpenda kutukuzwa na wanaoenakna na vyombo vya habari zaidi. mfano edward moringe sokoine, JK..... who Nyerere au Kikwete. Historia pia hitakiwi kuwasahau mafisadi , majambazi kama kina zombe,jeetu patel, na wengine wengie ambao bado hawajakamilisha usanii wa historia zao.

Watu wa mwisho kabisa lakini kwa ubinafsi wangu wanatakiwa kuwa wa kwanza kwenye vitabu vya historia ni baba na mama. Kama hutaki shauri yako
 
majina ni mengi mno hao wote walikua mashujaa au wengine walikua ma alwatan tuu mjini enzi hizo. Maana shujaa si ni mtu asieogaopa sasa kuna shujaa wa kweli Tanzania katika historia tuliyopewa zaidi ya MKWAWA na Mtu muhimu zaidi ya JKN sio kwa kutupatia uhuru yes yeye anachukua sifa kama kuwa mstari wa mbele na waingireza vilevile walikua wanarudisha makoloni ambayo ayakua na faida kwao. lakini mwalimu katuacha wote kitu kimoja ni kitu muhimu sana kwa africa huo ni shujaa for being a visionary at the time where many other african leaders could not forsee the long term implications of divisions.
 
Wakuu zangu,
Kusema kweli nimeileta mada hii kwa mtazamo wazi kabisa na sio ule unaoitwa NDIVYO TULIVYO kwani mara nyingi tunajaribu kuvuta hoja za kidini ktk WATU washuhuri ambao waliweza kubadilisha historia ya nchi yetu..Tuklumbuke tu utukufu wa mtu ni kwa yale alofanya na sio kwa majina au dini zao..Hivi kweli Mkandara hapa ningekuwa sina dini ningekuwa na mtazamo tofauti wa viongozi wetu?..Ningemsifia Lowassa na Mkapa kwa sababu wao ni Wakristu na kutupilia mbali madai yote ya Ufisadi! I don't think so.....

Sisi sote hapa ni matunda ya nguvu za hawa wazee, iwe, isiwe kwani navyoelewa mimi hiyo Magomeni Mikumi ndiko chanzo cha nguvu zote za uhuru na walikaa watu wa kila dini na makabila.
Ndiko alikokuwa akikaa Kawawa, Kambona, Saadan Kandoro, Nyerere na wengine wengi tu ambao kwa njiaq moja ama nyingine walichangia sana ktk Uhuru wetu... Jamani hatujafika hata miaka hamsini, watu hawaoni umuhimu wa watu wale isipokuwa wale waliopanda mlima Kilimanjaro na kutembea kwa miguu kuunga Azimio la Arusha..mbona hao hamwatambui kwa dini zao?..

Tuwe makini sana ktk maswala haya wakuu zangu tafadhalini kwani JK leo anayafanya anayoyafanya sii kwa sababu ni Muislaam wala Lowassa kwa sababu ni Mkristu. hawa watu hata kama wasngekuwa karibu na Mungu kiasi gani bado wangeyafanya waloyafanya kwa sababu ndio upeo wa AKLI zao ktk Ufahamu walizopewa...

Kuna majina mengine ambayo yamepewa ward za Wagonjwa Muhimbili kina ambao pia walikuwa muhimu sana isipokuwa leo hii tunabakia na majina bila kuelewa vizuri mchango wao..
Waswahili wanasema usipojua ulikotoka ni vigumu sana kwenda mbele... na hakika sababu zote za kushindwa kwetu kuendelea zinachangiwa na kutofahamu tulikotoka, hivyo tunapuyanga tu bila Malengo.. Kila mtu akianza safari huwa na fikra ya wapi anakwenda na mara zote hufuata njia ambayo itamfikisha ktk safari yake...Sasa sisi kama tunaenda mbila dira hatujui tumetoka wapi tumerukia bandwagon katikati ya safari maadam linasafiri inawezekana kabisa kuwa tunarudishwa nyuma..Na ndio maana Wadanganyika wengi hawakubaliani na data za maendeleo yetu hata kidogo...kwani hatujui tulikotoka.
Hawa watu tunaowazungumza humu ni muhimu sana na hakika ningependa sana kuelewa maisha na michango yao ktk nchi yetu..
 
mbona mko kimya?
Wataanzia wapi wanabaki Hi! he! nafikiri kwanza wanalinganisha mtindi ulioutowa hapo juu na ule waliopewa na baba wa taifa kama unalingana, na bado waambiew vizuri kuwa hiyo TANU anayojivunia Nyerere kuiasisi ilikuwapo tokea yeye ananyonya,
 
unauliza Tende BAGHADADI? halafu unajua karume alikuwa kama sadist hivi na ukitaka habari za karume mtafute bwana mmoja anaitwa KEPTENI MALIKI yuko Dar atakupa stori za Karume mka utakimbia mwenyewe

Kwa yeyeote anayejua historia ya Tanzania atakuambia kuwa Nyerere alikuwa na jela zake mithili ya GULAG za stalin ambazo walipelekwa akina Abdillah Schneider Plantan, Sheikh Abdulkarim Abdulwahid, Maalim Popo Saleh, Suleiman Masudi Mnonji, Ali Migeyo, Mufti Sheikh Hassan bin Amir, Sharff Hussein Badawiy, Shariff Mwinyibaba na Shariff Adnan...yap listi haishii hapo inaendelea walikuwepo akina Bilali Rehani Waikela, Sheikh Jumanne Bias, Maalim Matar, Abdalah Mwamba, Sheikh Hashim Haji Abdallah, Sheikh Nurdin Hussein, Salum Abdallah Popo, Sheikh Mzee Ali Comoriam, Sheikh Al Amin Maftah, Rajab Kiguu cha Mbuzi na wengine wengi.

Karume yeye alikuwa hana cha mswalie mtume maana yeye alikuwa anatesa na kuua bila huruma

Nyerere on the otherhand aliamua kuajiri ma Pro kufanya uuaji na mateso kwa niaba yake
.....sheikh Ali Muhsin Barwani, L.J .Mwijage(aliyesalitiwa na shushu mmoja maarufu wa Nyerere anayejiita bingwa wa utabiri Afrika Mashariki)
 
Mzee Mkandara,

Waweza kuniambia wasifu wa Mzee Tambaza na kwanini ile shule ilipewa jina lake?

Pia nitashukuru kupata wasifu wa Sheikh Amri Abeid kama hutajali.

Yaonekana ni watu muhimu sana kiasi kwamba serikali iliamua kutoa majina ya kumbukumbu huku wakiwa bado wako hai.
 
leta picha



=======

watu wengine waliosahaulika ni pamoja na kasela bantu, oscar kambona, field marshall okelo, na yule jamaa mweingien wa zanzibar aliyekimbilia guinea bissau halafu akarudi na kunyongwa (sikumbuki tena jina lake kwa vile kasahaulika kabisa)

picha ziko nyingi sana nyerere akiwa na kaptula tizama hata magazeti ya miaka ya mwanzoni 1958-1961 kuna kipindi akaja kuwa anavaa kofia na bakora miaka ya mwishoni ya sitini na mwanzoni ya sabini.

Pia hakuna kanisa lolote lililowahi kufanya ibada ya kuwaondoa wakoloni ni misikiti na masheikh ndio walikuwa wakimwita nyerere na kufanya ibada za uhuru.

Hata hotuba za nyerere amekiri mara nyingi kufanyiwa dua na masheikh kama sheikh ramia,chaurembo sheikh ramadhan abbas n.k
hakuwa padri wala mchungaji aliyewahi kufanya ibada ya kuwaondoa wakoloni.
 
.....sheikh Ali Muhsin Barwani, L.J .Mwijage(aliyesalitiwa na shushu mmoja maarufu wa Nyerere anayejiita bingwa wa utabiri Afrika Mashariki)

Hii Maneno?? alisalitiwaje? ebu tupe Habari yake imekaaje?
 
mzee mkandara,

waweza kuniambia wasifu wa mzee tambaza na kwanini ile shule ilipewa jina lake?

Pia nitashukuru kupata wasifu wa sheikh amri abeid kama hutajali.

Yaonekana ni watu muhimu sana kiasi kwamba serikali iliamua kutoa majina ya kumbukumbu huku wakiwa bado wako hai.

sheikh amri abeid alisoma sheria nchini pakistan na alisaidia mambo mengi kwenye uhuru.

Shule kama zanaki na tambaza zilikuwa mali ya waislam lakini forodhani bwana lowassa amewapa kanisa.waislam hawajapewa kibasila,zanaki,jangwani na tambaza ambazo zilikuwa mali ya waislam.
 
picha ziko nyingi sana nyerere akiwa na kaptula tizama hata magazeti ya miaka ya mwanzoni 1958-1961 kuna kipindi akaja kuwa anavaa kofia na bakora miaka ya mwishoni ya sitini na mwanzoni ya sabini.

Pia hakuna kanisa lolote lililowahi kufanya ibada ya kuwaondoa wakoloni ni misikiti na masheikh ndio walikuwa wakimwita nyerere na kufanya ibada za uhuru.

Hata hotuba za nyerere amekiri mara nyingi kufanyiwa dua na masheikh kama sheikh ramia,chaurembo sheikh ramadhan abbas n.k
hakuwa padri wala mchungaji aliyewahi kufanya ibada ya kuwaondoa wakoloni.

Hizi Hoja za udini mbona mnapenda kuzileta mahali pasipokuwa pake?
Nyerere alitafsiri Agano jipya kwa kizanaki (Nitauliza mshekhe labda walimsaidia)
Kwenye sherehe za Mei mosi Mbeya (1995) alisema kuwa siku zote amekuwa anatembea na Biblia na kitabu ccha azimio la Arusha (Labda vinatumika msikitini)
Ukiwa Mwalimu wakati wa ukolini Dressing Code ilikuwaje? (uvae kaptula, kanzu au suruali kunaconection yoyote na dini yoyote? Sijui wala sitakaa nijue, maana akina Seif nao wanvaa suti inachnaganya kweli kweli)
Ukiwa Mwanasiasa dressing code ilikuwaje?
Uvaaji wa Mrema wa Barakashia una uhusiano wowote na dini ya Kiislam? (mrema naye mtoto wa mjini, alikuwa jirani na shekhe nani yule wa Temeke?)
Kuna Historia inayoonyesha Nyerere kubadili dini siku yoyote? ( Nitasema alikuwa kigeu geu)
Tunaharibu mada tunapojaribu kuhamisha kila mada ili tuonyeshe kuwa dini zetu zilisaidia hili na hili na zinaonewa hapa na hapa. Nadhani sio Jambo la maana sana kwa wakati huu. Watu mara nyingi hukubaliana kuwa tunaona huyu mwenzetu anauelewa mpana (Jk alikuwa hivyo) ngoja aongoze hata kama wamechangia pakubwa, na hii ndio ilivyotokea (hata kutoa uongozi), Hata Pesa ya kwendea New York (UN) mwaka 1958 alikopeshwa na wazee wa Mjini, Je mlitaka waingie kwenye Serikali.

Nimeamini kuwa binadamu ni wanafiki sana, nilikuwa siku zote siamini. Katika jambo ambalo Jakaya Kikwete analaumiwa ni kuwakumbatia Rafiki zake waliomsaidia kwenye Kampeni (2005). Tunamlaumu Jakaya kwa kuwaweka karibu na kuwapa vyeo (waislam na wasio) at the same Julius Nyerere aliwaacha nje rafiki zake (Wakrsito na wasio) kuchukua wale tu wanaoweza kuongoza naye analumiwa, sasa nimechanganyikiwa lipi Jema hapa,

Kweli Mitantanganyika na Mizanzibari ndvyo tulivyo na miviongozi yetu ni mi-reflection yetu. KwishenI
 
Back
Top Bottom