Watu maarufu nchini waliotutoka mwaka huu 2010.

34245_1543415664235_1200297381_31541798_6218600_n.jpg

Abuu Semhando, Almaarufu Baba Diana!

Na huyu nae si ni maarufu?
 
Na wana JF wote waliotutoka mwaka huu RIP

Wadau kuna yeyote mwenye taharifa za kifo cha member yeyote wa Jf?
Nimejiuliza kwa Id hizi mtu anapofariki members wengine wanajuaje?
 
Wadau kuna yeyote mwenye taharifa za kifo cha member yeyote wa Jf?
Nimejiuliza kwa Id hizi mtu anapofariki members wengine wanajuaje?
Kujua ni ngumu , unless kama alikuwa anajulikana na rafiki mmojawapo wa JF!
Lakini so far sijawahi kupata taarifa ya mwana-JF yeyote ufariki!
Urafiki nje ya keyboard ni muhimu sana jamani...hatuna haja ya kukimbiana kama wachawi!
 
Back
Top Bottom