Na yule mtunzi wa riwaya za Joram Kiango akiitwa Ben Mtobwa alikufa mwaka gani sio mwaka huu kweli?
Kujua ni ngumu , unless kama alikuwa anajulikana na rafiki mmojawapo wa JF!Wadau kuna yeyote mwenye taharifa za kifo cha member yeyote wa Jf?
Nimejiuliza kwa Id hizi mtu anapofariki members wengine wanajuaje?