Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,702
Ina mashiko endapo tutajadili kwa utulivu bila jazba..Hii nayo ni thread yenye mashiko?
Ina mashiko endapo tutajadili kwa utulivu bila jazba..Hii nayo ni thread yenye mashiko?
Padre: 'Father' is a term of address of Priests in some Churches expecially the roman Catholic or Orthodoxnipe tafsiri ya padre
Kuna nchi Amerika ya Kusini........Bolivia au Peru...
Mkuu, mimi sio Mkiristo wala Muislam, mimi Mpaganinijibu swali la msingi, nitajie ni nchi ngapi duniani zinaongozwa na mashehe?
sikia mkuu, mimi pia muislam, lakini kamwe siwezi kuyumbishwa na siasa hasa siasa za CCM, kwangu mimi siasa na dini ni sawa na malaika gabriel na ibilisi.
Ebu nitajie nchi gani Dunia Rais wake ni Padre?[/QUOTE]
Vatican (no need who to mention), Paraguay (fernando Lugo) and Haiti (jean Bertrand Aristide). Ingawa si wote ni marais mpaka leo.
Sasa sema what is you motive behind the question?
Aliyekuwa Rais wa visiwa Vya Malta ambaye sasa ni marehemu alikuwa ni askofu MakariosEbu nitajie nchi gani Dunia Rais wake ni Padre?
Mkuu, unaweza kututajia majina yao tupate faida!