Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,722
- 21,778
Watu 51 wamefukuzwa na vibanda vya o kwa oda ya masaburi dk didas..habari zaidi zinasema watu wamekutwa
zaidi ya 51 wakiulizwa wamewekwa na nani wandai wao watu wa bodi...akihojiwa na waandishi wa habari
mh masaburi anasema amefika baada ya kusikia kuna walemavu wanatakiwa kupewa sehemu zile lakini kutokana na
fedha na hongo kuna watu wamewekwa pale na wengine ndugu na jamaa za wajumbe wa bodi na hivyo kila aliewekwa
pale kwa bodi nimewaaagiza sitaki kusikia hata mmoja mpaka saa 12 ya leo jioni
kazi ipo kweli wazee wa magamba haya mzee masaburi wapi sasa unaelekea???
zaidi ya 51 wakiulizwa wamewekwa na nani wandai wao watu wa bodi...akihojiwa na waandishi wa habari
mh masaburi anasema amefika baada ya kusikia kuna walemavu wanatakiwa kupewa sehemu zile lakini kutokana na
fedha na hongo kuna watu wamewekwa pale na wengine ndugu na jamaa za wajumbe wa bodi na hivyo kila aliewekwa
pale kwa bodi nimewaaagiza sitaki kusikia hata mmoja mpaka saa 12 ya leo jioni
kazi ipo kweli wazee wa magamba haya mzee masaburi wapi sasa unaelekea???