abdulahsaf
JF-Expert Member
- Aug 31, 2010
- 858
- 130
Mahoijiano ya Redio ya Ugerumani na Kamanda wa Jeshi la Polisi
BONYEZA REDIO
AUDIO | DW.DE
Waumini wa Kiislamu mjini Zanzibar walikuwa wanaendesha dua ya kuwaombea waliopoteza maisha katika ajali ya meli ya MV. Skagit iliyotokea wiki iliyopita, lakini polisi inasema walikuwa waumini hao walikusanyika kinyume na sheria na hivyo kusababisha vurugu katika mitaa ya Unguja mjini. Amina Abubakar amezungumza na Kamanda wa Polisi wa mkoa wa Mjini Magharibi, Aziz Juma Mohammed. Kusikiliza mazungumzo hayo, tafadhali bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.
Mwandishi: Amina Abubakar
Mhariri: Othman Miraji
BONYEZA REDIO
AUDIO | DW.DE
Waumini wa Kiislamu mjini Zanzibar walikuwa wanaendesha dua ya kuwaombea waliopoteza maisha katika ajali ya meli ya MV. Skagit iliyotokea wiki iliyopita, lakini polisi inasema walikuwa waumini hao walikusanyika kinyume na sheria na hivyo kusababisha vurugu katika mitaa ya Unguja mjini. Amina Abubakar amezungumza na Kamanda wa Polisi wa mkoa wa Mjini Magharibi, Aziz Juma Mohammed. Kusikiliza mazungumzo hayo, tafadhali bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.
Mwandishi: Amina Abubakar
Mhariri: Othman Miraji