Mgoyangi
Senior Member
- Feb 6, 2008
- 184
- 9
Watu 16 wamefukiwa na Kifusi walipokuwa wakitafuta dhahabu katika mgodi kwenye kata ya Kaseme wilayani Geita Mkoani Mwanza. Maiti wameopolewa na watu wanane wametambuliwa.
Kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa wa Mwanza kwa sasa ipo huko ikichunguza tukio hilo chini ya Uenyekiti wa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza. Ajali inasemekana imetokea jana na chanzo ni kufumuka kwa dhashabu ambayo ilimvutia kila mtu kuchimba.
Kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa wa Mwanza kwa sasa ipo huko ikichunguza tukio hilo chini ya Uenyekiti wa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza. Ajali inasemekana imetokea jana na chanzo ni kufumuka kwa dhashabu ambayo ilimvutia kila mtu kuchimba.