CPU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 3,863
- 686
Kwako tena CPU pole na samahani kwa kutoweza kukuridhisha kwa topic.Ila hii nia yake ilikua kuangalia mabaya kwa upande wa wazazi...ningeunganisha na ya watoto mngeishia kuniambia nipunguze paragraph!Kwa sababu sahihi na wakati maalumu labda ntageuza upande!Siwezi kua nazo zote at once.Alafu hiyo mifano yangu niliipatia kijijini!Usidhani maisha ya kijijini siyajui...miaka saba sio midogo kwahiyo jua nimeona mengi ya kule.
Huna haja ya kuni-satisfy kwa kila kitu, wala kusatisfy kila mtu kwani hautaweza.
Sidhani kama uliwazia kuandika mabaya ya watoto wakati unaandika hii sredi, na hata ungeandika bado angeweza kutokea mtu akasema haujagusa hapa au pale. So nilichokifanya ni kuongezea mawazo kama ilivyo ada yangu. Maana huwezi ukasema utaleta sredi yenye kila kitu ndio maana sisi wengine tunaongezea na ya kwetu kama sehemu ya kukamilisha maana ya kuchangia mada.
Kuhusu maisha ya vijijini sio kwamba haujakaa kijijini, na wala si rahisi kujua nani amekaa au hajakaa. Nilichokifanya ni ku-Quote comment za Mazunguse aliyeongelea watoto wa kijijini ambao anaweza kuelewa neno internet kama tusi la kizungu. So kwa maana nyingine hao watoto hawana hata ufahamu wowote wa dunia ya sasa hivyo wanadhalilika au wanateswa kielimu pia
The Following 2 Users Say Thank You to Lizzy For This Useful Post: