Picture From: "Tanzania Daima" April 15, 2011, Page 1
View attachment Wanafunzi wakivuka barabara.pdf
Jamani, watoto wetu wana-risk kifo kila siku wakivuka barabara hadi wanashikana mikono ili kupambana na kifo au kama ni kufa wafe pamoja. Inasikitisha mno!
Walio na wajibu wa kuhakikishia watoto wetu usalama ni Serikali, Wazazi na Walimu, na ni wazi kuwa tumeshindwa hili jukumu la msingi na kwaachia watoto wetu wajihami wenyewe. Aibu kubwa!
Changia maoni yako please...
View attachment Wanafunzi wakivuka barabara.pdf
Jamani, watoto wetu wana-risk kifo kila siku wakivuka barabara hadi wanashikana mikono ili kupambana na kifo au kama ni kufa wafe pamoja. Inasikitisha mno!
Walio na wajibu wa kuhakikishia watoto wetu usalama ni Serikali, Wazazi na Walimu, na ni wazi kuwa tumeshindwa hili jukumu la msingi na kwaachia watoto wetu wajihami wenyewe. Aibu kubwa!
Changia maoni yako please...