Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 15,795
- 28,447
mbona huyo mkubwa anafanana na Mr.Benjamin Mkapa au macho yangu hayaoni vizuri
kwa tanzania inawezekanaNgoja waje wanaowafahamu
katika watoto wote wa mkwere Miraji yuko social sana,anajichanganya sana uswaziHuyo dogo nikikutananae wawili ntamkunyuga vibaya mno sema hazuruli Kama miraji
katika watoto wote wa mkwere Miraji yuko social sana,anajichanganya sana uswazi
Wivu.....Eti nasikia kimojawapo kinamiliki UDA, mwe hivi vitoto vya juzijuzi vimekuwa vibilionea! Acha watu wawe na hasira navyo.
We ndezi kweli,tumchukie ananini? Mwanae riz alitamka wazi kutowapenda wanakaskazni sasa tunahaja gani ya kuwapenda wao? Usituchagulie marafiki.Wachaga wanamchukia sana kikwete,sasa hizi pumba humu ndani za kuisema familia yake ndo zitaaffect vipi maisha yake?tuachane na roho mbaya,mtu kakaa kimya mnamtafuta.
Mkuu andaa kucha..Huyo dogo nikikutananae wawili ntamkunyuga vibaya mno sema hazuruli Kama miraji
Angalia maisha yao yalivyo kwa sasa..hawa ndio waliishi maisha halisi ya kitanzania.
hahahahafamilia bora na iliyotukuka Katika wizi
laaanaa kum
yakoje kwa sasa mkuu?Angalia maisha yao yalivyo kwa sasa..
nilijua tu !Mungu humpa amtakaye hivyo usijisumbue na chuki zako zitakugharimu mwenyewe kwa kujitafutia maradhi ya shinikizo la damu bure,kubaliana na jinsi ulivyo na ongeza bidii na wewe upate