Watoto wa wazaramo hawafanani, utafiti

Nimetoka Masasi Mtwara jana, leo nipo Mkuranga mkoa wa pwani. Kisa cha kushangaza, familia ya wenyeji wangu watoto wao awafanani, wapo 5. Moja mrefu, wawili wafupi, wawili wa Wastani, rangi zao wengine azipo kwa baba wala mama. Katika kudadisi kwa utafiti, nikajulishwa kuwa watoto wa waazaramo awafanani. Chanzo cha matatizo hayo ni ngoma za mila na desturi. Leo Mr Msandawe nipo njiani naelekea arusha. Kama nitalala Tanga nitawajuza maajabu ya Tanga Kesho. Siku njema wana JF

Watu wengi wanapenda kushinikiza wasikilizaji wao kwa kutumia maneno "Nimefanya utafiti" Lakini kumbe sivyo. Wewe unaongelea utafiti wa nyumba ya wenyeji wako? Au ulichunguza familia ngapi na ulitumia methodology ipi? Yaani, kwa nini tuamini data zako kama ni safi na hazina biases? Hypothesis uliyoipata ni nzuri hapo penye blue. Sasa je, ina maana statement ya tatizo lililojenga "utafiti" wako ni ngoma na mila za desturi? Did you have any objective of your study apriori or come what may? Kwa sababu maelezo yako yanaweza kuwaumiza wanaohusika na "uchunguzi" wako kitu ambacho sidhani ni sawasawa. Labda kama wazaramo ni watani zako ukaamua kuwa-mutilate.

However, umenisaidia kujifikirisha mambo mengi sana ambayo ungeweza kuandikia proposal na kufanya utafiti wa kweli ikaleta maana hata data zako zikasaidia katika maendeleo ya wazaramo hao.
 
Harusi za Kizaramo

images


End product

images


people12_500x312.jpg

mkuu umepata conset ya hawa watoto ulioweka picha zao.au kwa kuwa uko kwenye utafiti umeamua kuwadhalilisha?
 
Nimetoka Masasi Mtwara jana, leo nipo Mkuranga mkoa wa pwani. Kisa cha kushangaza, familia ya wenyeji wangu watoto wao awafanani, wapo 5. Moja mrefu, wawili wafupi, wawili wa Wastani, rangi zao wengine azipo kwa baba wala mama. Katika kudadisi kwa utafiti, nikajulishwa kuwa watoto wa waazaramo awafanani. Chanzo cha matatizo hayo ni ngoma za mila na desturi. Leo Mr Msandawe nipo njiani naelekea arusha. Kama nitalala Tanga nitawajuza maajabu ya Tanga Kesho. Siku njema wana JF
Mkuu Biology ilikupitia mbali nini?
 
Nimetoka Masasi Mtwara jana, leo nipo Mkuranga mkoa wa pwani. Kisa cha kushangaza, familia ya wenyeji wangu watoto wao awafanani, wapo 5. Moja mrefu, wawili wafupi, wawili wa Wastani, rangi zao wengine azipo kwa baba wala mama. Katika kudadisi kwa utafiti, nikajulishwa kuwa watoto wa waazaramo awafanani. Chanzo cha matatizo hayo ni ngoma za mila na desturi. Leo Mr Msandawe nipo njiani naelekea arusha. Kama nitalala Tanga nitawajuza maajabu ya Tanga Kesho. Siku njema wana JF
Msandawe hio sample ya familia moja haitoshi we kufikia conclusion ya kuweza kusema 'Wazaramu... na sijajua siku hizi ukitaka kwenda Arusha unapitia Tanga.
 
Huo ni utafiti ambao unaendelea, mtafiti anatoa preliminary results na amesema anaelea Tanga na Arusha hivyo hapo hakuna ukabila wala nini. Kama sikuosei purpose ya study yake ni kuona kama watoto zaidi ya mmoja wa wazazi wawili kwa kawaida ufanana na wazazi wao au wao kwa wao ingawaje hajawa specific kwenye variables zake - je kimo, rangi, viungo mbali na vile vya uzazi.
 
Nimetoka Masasi Mtwara jana, leo nipo Mkuranga mkoa wa pwani. Kisa cha kushangaza, familia ya wenyeji wangu watoto wao awafanani, wapo 5. Moja mrefu, wawili wafupi, wawili wa Wastani, rangi zao wengine azipo kwa baba wala mama. Katika kudadisi kwa utafiti, nikajulishwa kuwa watoto wa waazaramo awafanani. Chanzo cha matatizo hayo ni ngoma za mila na desturi. Leo Mr Msandawe nipo njiani naelekea arusha. Kama nitalala Tanga nitawajuza maajabu ya Tanga Kesho. Siku njema wana JF

Urongo wa kujitafutia umaarufu
 

Rukwa bado sana, pindi nikitoka kigoma nitakula boda la huko. Nataka nifike kipindi cha radi za mchana ili nizishuudie kwa macho yangu. Pamoja na ule uchawi wenu wa mamba, wa nchi kavu niwaone
Haya bwana karibu sana, usisahau kunitafuta nikupe taratibu za kufanya utafiti huku!
 
Tuache hii tabia ya kabila moja kujiona bora kuliko jengine.

Kama Wazaramo wanafanya harusi za ngoma na kuzaa watoto tele, si tuwaachie wenyewe. Why do we have to care?

Uzazi wa mpango muhimu, watoto wapate lishe bora, elimu bora, malazi bora sio kutwa tunasumbuana na mabakuli uzae wewe mm nikusaidie pesa za matunzo wapi na wapi bana
 
Huo sio utafiti, umepita nyumba moja na unasema wazaro watoto wao hafanani, HIYO SAMPLE HAIWAKILISHI POPULATION kwanza hata hujui namna utafiti unavyofanywa,, umelala siku moja kwa wenyeji wako then unaona ndo umefanya utafiti. Fanya utafiti kwenu kwanza ujue kama wazazi wako hawajafanya tendo la ndoa nje ya nyumba yao halafu ulete majibu baada ya hapo nenda kwa kabila lako , then kwa makabila mengine, UNAJIITA GREAT THINK... PUMBA TUPU
 
Kweli Msandawe. Wengi wao hufanana na wapiga ngoma. Wapiga ngoma sehemu nyigi ugoma kuendelea kupiga ngoma mpaka atafutiwe kiburudisho.
 
Wewe picha ulizoweka zilikuwa na lengo gani?

Kimtazamo wako suala la kuwa faithful kwenye ndoa linawahusu Wazaramo tu? Hayo magonjwa wanapata wao tu?

Mtoa mada might have had a good point lakini picha zako zimekwenda out of point. Wanaofanya ngoma harusini ni Wazaramo tu?

Na ngoma harusini ina uhusiano gani na watoto kuwa Wa baba tofauti?

Mimi nilionyesha madhara ya ngoma zenyewe na sio in relation kwa watoto kufanana au kutokufanana, na picha nilizoweka ni za research ya tofauti za namna ngoma hizi zinavyochangia kurudi nyuma kwa maendeleo ya watu tajwa na eneo husika. Hata JF waliwahi kujadili siku kiongozi wetu alivyocheza watoto wake ngoma rejea https://www.jamiiforums.com/celebrities-forum/22548-jk-amcheza-bintiye-ngoma.html

na comment ya mkuu mmoja hapa

Mbali ya hizo garama, mimi naona ni upuuzi raisi wa nchi kuacha ikulu wazi anakwenda kucheza mdundiko ucku kucha! Kumbe ndo maana alimkata dry mkuu fulani aliye sema ngoma ya CHAGULAGA inachangia maambukizi ya virusi!. Sasa hizo ngoma za kizaramo ndo kabisaaaaa! make kumwaga razi ni kwa kwenda mbele na kujirusha kwenye mihogo huku kelele za mchiriku zikiwanyima jirani usingizi!

Kibaya zaidi ni adha walio ipata askari wiki nzima iliyo pita kila siku kusimama barabarani kupigwa jua kali wakisubili msafara wa Salma upite akielekea bagamoyo kuanda shughuli asubuhi na kurejea jioni. Huo wa JK foleni ilikuwa mwisho watu tumeegeshwa pembeni mwa barabara nusu saa tukisubili msafara! ambao kwa vyovyote vile unatanua b aranabarani kwa gharama zetu!

Vitu vingine bwana ukisha kuwa bosi inabidi uviangalie kwa jicho la tofauti hasa ukizingatia dhamana uliyo beba na kwamba mwenyewe ndo kioo cha jamii!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom