Kitila Mkumbo
JF-Expert Member
- Feb 25, 2006
- 3,354
- 1,943
sasa GT mbona umeingia mitini tena, au huna issue katika hili ulikuwa mkwara tu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acheni kutuchukia sisi watoto wa vigogo...hamna aliyewakataza madingi zenu kuwa vigogo
Acheni kutuchukia sisi watoto wa vigogo...hamna aliyewakataza madingi zenu kuwa vigogo
Middle,
1. Unamaanisha kuwa Watz wengi wanaopata nafasi kusoma na wapo JF kwa UK, US na kwingineko ni watoto wa wakubwa?
2. Tanzania kutafuta Mchawi bwana- hawa watoto wa vigogo wao sii Watz? Waishi na kufanya kazi wapi? Mbinguni? Ni % ya Civil Service ni watoto wa vigogo? Isije onekana kama ni ubaguzi!
sasa GT mbona umeingia mitini tena, au huna issue katika hili ulikuwa mkwara tu?
mimi naamini kuwa, kama data zipo za ukweli ni bora hoja hiyo ikawasilishwa hapa ili ijadiliwe, itakuwa na faida kubwa sana kwa jamii ya kitanzania kuwa 'haogopwi mtu', ukizingatia ukweli kwamba haiwezekani katika nchi yenye watu zaidi ya milioni thelathini tenda kubwa zikaenda kwa watu ambao wanatoka kwenye familia za wakubwa na matajiri tu, kwanza haitoi hata fursa kwa watu wengine kujikwamua kiuchumi na hii itaishia kuongeza utofauti kati ya maskini na matajiri
Nyani, wachache wameonyesha chuki kwenye thread, wengi wao wanaonyesha shauku tu la kujua mambo yaliyopelekea baadhi ya mambo kutotendeka ki dhuluma...
Usiwe na hofu ndugu, kama wewe huna tenda ya kugawa madawa kwenye clinic zote za wilaya Tanzania au kama unashikilia tenda hiyo baada ya kutangazwa kwenye magazeti na TV na kuonekana tayari unajua mambo ya madawa na una kampuni ya usafirishaji, basi wewe huna la kujibu au kuongelewa, kwani kila chako kitakuwa cha haki.
Game Theory, vipi tena... mbona huleti data? Fichua tu yote unayo ona si maovu lakini si mambo ya mahusiano kati ya 'watoto wa wakubwa' na wapenzi wao au ndugu zao.
SteveD.
hahahaaa ! duh sikujua !
hukujua nini...?
There isn't any dataz ni maneno tu na porojo. Mwenye dataz aweke hapa.
Mimi nikidhani maana ya KadaMpinzani inasimamia - Mwanachama wa CCM lakini upande unaoitakia mema Tanzania, hivyo kupingana na Ufisadi ama Uongozi mbaya ndani ya CCM.
Kumbe KadaMpinzani ni UNAZI!.
Mimi nadhani ni vizuri kama kuna data za kweli zijadiliwe bila hofu. kama ni coincidence haya yametokea basi itatusaidia kuondoa manung'uniko na pia wale wanaotajwa kama watoto wa wakubwa kusafishwa.
Sasa hivi kuna email ina circulate kila mahali kuhusu wale watoto wa vigogo wa BOT. kwa hiyo kuwajadili hapa aidha ni njia ya kuwatenganisha waliopata kihalali na waliopata kwa mgongo wa wazazi wao.
Iwapo 'jamaa' katumia ofisi 'ikulu' kufanya biashara itakuwa hili la ajira za vimemo!!!!
hukujua nini...?
Mimi nikidhani maana ya KadaMpinzani inasimamia - Mwanachama wa CCM lakini upande unaoitakia mema Tanzania, hivyo kupingana na Ufisadi ama Uongozi mbaya ndani ya CCM.
Kumbe KadaMpinzani ni UNAZI!.
wewe utamweza kada; wakati mwingine huwa anaandika ili watu wajue yupo!
kwamba wee mtoto wa kigogo ! wengine hapa watoto wa vijiti(walalahoi)!