Mpaka Kieleweke
JF-Expert Member
- Feb 27, 2007
- 4,132
- 1,571
Shida ni kuelezana ili na mimi niwaabie ni kwanini nimefanya hivyo!
Kwasabau si wana jf wameshagunduwa kuwa si kweli mimi ni kichaa?Kama tunaheshimiana hapa kama watu wazima ni bora tu treatiane kama ilivyo..La sivyo huu nauita ni UONEVU.
Kwasababu mijadala ambayo ninaianzisha huwa ina make sense..Sasa ninayochangia kama mimi si make sense basi tuulizane!
Kama mlivyoifunga ama kuihamisha ile thread ya Count down ya EPA..Na huku mkijuwa wazi kuwa Rais hajatowa ripoti.
Sasa hata ile mada haina nguvu tena!
NIKISEMA JF IMEVAMIWA NA MAFISADI MTABISHA?
Nimeipenda hiyo yenye red.