mpayukaji
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 940
- 349
Nimeona watu wengi wakihaha ima kushangaa au kufurahia kufeli kwa Mwanaasha Kikwete. Zamani kushindwa katika masomo kulimaanisha kukosa fursa kwa ajili ya masomo ya juu au hata kazi nzuri. Siku hizi hilo si tatizo tena. Ukiwa na baba au mama mwenye jina kubwa utashinda kwa njia nyingine kama ukishindwa darasani. Waone akina Januari Makamba na Emanuel Nchimbi utaelewa ninachomaanisha.