Watoto wa Tanzania

MaxShimba

JF-Expert Member
Apr 11, 2008
35,772
4,054
558383_330410153711601_65394374_n.jpg
 
hao wanaoponda mwe lol! ila huyu aliyefungwa kwenye meza ili asitoroke ndo kinyume kabisa na haki za watoto. hao wanaopigana wameshiba uji wa shule hao hawana neno.
 
da ina sikitisha sana sasa sijui sofia simba anafanya kazi gani kama waziri wa watoto huyu mama alaniwe coz hafanyi kazi yake kazi ni kupaka ina na rangi mikononi na miguuni
 
kaka unazidi kunitia hasira yani mimi 1215 lazimi nitapigana kufa na kupona watu kama sofia simba hatuwataki
 
Mungu ata tuhukumu wote ambao hatutafanya maamuzi ambayo yatawatoa hawa watoto katika haya matatizo na tusipokua makin hawa watoto hawatakuja kutusamehe milele.
 
Back
Top Bottom