Watoto wa Slaa ndani ya bunge

Magesi

JF-Expert Member
Jul 10, 2012
2,587
573
Naibu spika wa bunge baada kipindi cha maswali na majibu ametambua uwepo wa watoto wa Dk. Wilbroad slaa aliozaa na mke wake wa zamani Mbunge viti maalumu Mh.Rose kamili kupitia CHADEMA
 
Ni wageni wa Rose Kamili...Kwani kuna Ubaya?au ndo mwendelezo wa zile sarakasi?
 
Duh! kumbe Padre Slaa ana watoto wengine wa nje ya ndoa! huyu ndio mtu anaeruhusiwa kugombea Urais?

Kuna kila sababu inabidi Tanzania tuweke sheria za wagombea Urais zinazoendana na maadili ya mgombea na huu ni wakati muafaka kuliongelea tunapojadili Katiba mpya.
 
Duh! kumbe Padre Slaa ana watoto wengine wa nje ya ndoa! huyu ndio mtu anaeruhusiwa kugombea Urais?

Kuna kila sababu inabidi Tanzania tuweke sheria za wagombea Urais zinazoendana na maadili ya mgombea na huu ni wakati muafaka kuliongelea tunapojadili Katiba mpya.

Sasa mkuu wewe Jamii forums imekupa heshima ya kushiriki katika mdahalo watu wanategemea mawazo ya kujenga kutoka kwako tunapoelekea siku ya mdahalo lakini bado unaendekeza tabia zako za kidini. nadahani JF wafikirie upya kukupatia nafasi hii kwa sababu hufai kwenye jamii ya watu wastarabu.
 
Duh! kumbe Padre Slaa ana watoto wengine wa nje ya ndoa! huyu ndio mtu anaeruhusiwa kugombea Urais?

Kuna kila sababu inabidi Tanzania tuweke sheria za wagombea Urais zinazoendana na maadili ya mgombea na huu ni wakati muafaka kuliongelea tunapojadili Katiba mpya.
Mimi najiuliza Ikulu watatumia kiasi gani kugharamia futari musimu huu wa mwezi mtukufu, kwa sababu nyomi la pale huwa sio la kawaida??
 
Duh! kumbe Padre Slaa ana watoto wengine wa nje ya ndoa! huyu ndio mtu anaeruhusiwa kugombea Urais?

Kuna kila sababu inabidi Tanzania tuweke sheria za wagombea Urais zinazoendana na maadili ya mgombea na huu ni wakati muafaka kuliongelea tunapojadili Katiba mpya.

Mkuu wa MGAMBA anao watoto wangapi "wa Ndani" na wangapi wa "Nje?"
 
Huo ndio umbea, kama ni kuzaa nje ya ndoa ni yeye, sisi tunautambua uwezo wake hata wewe mwenyewe unaongoza kw akuzaa nje ya taratibu za ndoa,
Duh! kumbe Padre Slaa ana watoto wengine wa nje ya ndoa! huyu ndio mtu anaeruhusiwa kugombea Urais?

Kuna kila sababu inabidi Tanzania tuweke sheria za wagombea Urais zinazoendana na maadili ya mgombea na huu ni wakati muafaka kuliongelea tunapojadili Katiba mpya.
 
Duh! kumbe Padre Slaa ana watoto wengine wa nje ya ndoa! huyu ndio mtu anaeruhusiwa kugombea Urais?

Kuna kila sababu inabidi Tanzania tuweke sheria za wagombea Urais zinazoendana na maadili ya mgombea na huu ni wakati muafaka kuliongelea tunapojadili Katiba mpya.

Huwa nikisoma coments zako huwa najaribu kuimagne what kind of man ur...napata tabu kuelewa how do u live with other ppl cuz huwa naona crisis ktk kila utendalo. May God have mercy on u cuz u do thngs out of ur skin! Ur so pathetic,rigid and ignorant! Huwa unanichefuaaa!
 
Mpaka sasa zijaelewa mantiki ya hii thread, umeleta ili tusifie uzinzi wa slaa au?
 
Duh! kumbe Padre Slaa ana watoto wengine wa nje ya ndoa! huyu ndio mtu anaeruhusiwa kugombea Urais?

Kuna kila sababu inabidi Tanzania tuweke sheria za wagombea Urais zinazoendana na maadili ya mgombea na huu ni wakati muafaka kuliongelea tunapojadili Katiba mpya.

Kwani wale nane wote ni wa Salma? Ridhiwani kazaliwa na Salma?
 
Back
Top Bottom