Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesahau wanae Mubarak waliokataa baba yao ajiuzulu.Katika miaka ya karibuni watoto wa rais ambao wamekuwa na ushiriki wa moja kwa moja wa harakati za kisiasa za baba zao ni pamoja na watoto wa Gaddafi, Saddam na Kikwete.
Mwanae Hosni, ambaye ndiye alikuwa arithishwe ufalme alipoona mambo magumu aliachia ukatibu wa chama mapema kabla baba yake hajatangazwa kukimbia ikulu ya Cairo.