KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,575
- 8,595
Jana bwana yamenikuta!! wana jf !na ubabu wangu! jana nikashikwa nikashikika nikajikuta nakula chakula nilichokuwa sitarajii kamwe!!Nikashikwa mkono babu babu mala nikaona wameanza kula vitunguu vyangu wameviweka shavu hili wameweka shavu lile nikataka kuzimia na raha! mara ndizi ikatupiwa kule mara kati huku nikaitwa Babu na wewe njoo zamu yako!! kula hii nyama maana tunajua umetoka bara nikauliza hii nyama haijachomwa nakulaje nikaambiwa unaingia katikati ya mafiga unaramba mchuzi Mhn!!! naramba mchuzi niweke ulimi katika nyama mbichi??? nyama yenyewe kama maini! maini simaini ili mradi nikafumba macho Babu wawatu nikaenda kwenye mafiga nakukuta hiyo nyama nzuri imeoshwa swaaaafi!!!!sikusikia harufu ya damu wala shombo kila nilipoweka ulimi nakutana nachumvi ila Tamuuu!!Naona sasa nikijakurudia kwa mwingine itakuwa hivi au??Ila sirudiii!!!ila tembea uone nilisha apa!!Lakini wapi bwana nimewekwa kati nikakuta napiga magoti!!Nawatakia wiki njema!!:-*:high5::rockon::yo:oa