AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,078
No worries. Experiences are a good teacher. Kila la kheri!
Kila la kheri kwako pia... Take care.
No worries. Experiences are a good teacher. Kila la kheri!
Acha umbea.....Kuna dalili za ligi isiyo na kombe!
Hivyo mzazi kutaka mtoto wa kike awe mkakamavu na mwenye kijisimamia sio vibaya.
Unataka kuchapwa wewe eeh? Haya embu rudi jikoni ukamalizie kupika kabla mashetwani yangu hayajacharuka!Acha umbea.....
What day and what are you talking about?Do you believe everything people say about themselves? Especially in this kind of an environment? But never mind coz there's a sucker born every minute!
I don't know you and you don't know me though you seem to think you do. So please leave me alone and mind your own business. Will you? Thanks in advance."mwanaharasha ukimtia ndani ya chupa lazima atoe kidole" ...
....Na mimi nikakumbuka malezi nilopewa na baba yangu. Alikuwa hataki kabisa tuwe legelege kama wanawake. ...
i second the point ...
Ashadii pole sana for you have gone through a lot ... amini kuna watu wengi behind the "shaded" avatars sharing your sentiments ... wababa wenye watoto wa kike wanaweza kukuelewa sana katika hili ... just ignore provokations for i c watu wengine hawakuamka vizuri leo ... l.o.l (sipendi ligi jamani!)
Safari bado ndefu! Mimi ni mwanaume, lakini mara zote huwa natamani kuwa kama mama yangu....i have never seen her 'legelege'!
i second the point ...
Ashadii pole sana for you have gone through a lot ... amini kuna watu wengi behind the "shaded" avatars sharing your sentiments ... wababa wenye watoto wa kike wanaweza kukuelewa sana katika hili ... just ignore provokations for i c watu wengine hawakuamka vizuri leo ... l.o.l (sipendi ligi jamani!)
Mwalimu wangu kumbe kuna misemo hukunifundisha eh!"mwanaharasha ukimtia ndani ya chupa lazima atoe kidole" ...
Asante Ashadii. Mama ametufundisha kazi na uvumilivu. Mafanikio yangu kwa sehemu kubwa yamechangiwa na aina ya malezi yake...na kwa kweli alikuwa anaishi/anafanya kile 'anachokihubiri' kwetu.SMU.. Mungu akubariki...
Mwalimu wangu kumbe kuna misemo hukunifundisha eh!
Itabidi niombe darasa la jioni Mwalimu, naona hapa leo panataka kuchafuka!Usinambie I skipped that chapter! ........
Leo tunakula kwa mama ntilie....nimechoka!!Unataka kuchapwa wewe eeh? Haya embu rudi jikoni ukamalizie kupika kabla mashetwani yangu hayajacharuka!
Asante Ashadii. Mama ametufundisha kazi na uvumilivu. Mafanikio yangu kwa sehemu kubwa yamechangiwa na aina ya malezi yake...na kwa kweli alikuwa anaishi/anafanya kile 'anachokihubiri' kwetu.