nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,369
Jamani mimi kuna kitu nime notice. Kuna baba nasoma nae ni mganda mtu mzima sana alichelewa kuoa na ana watoto watatu, last born wake ana miaka minne. Huyu baba alikuwa anatuambia juzi kuwa yeye hataki kabisa kabinti kake kachezee mwanasesele. Anasema tena hivi yuko na kaka zake, anamnunulia magari, mipira na bastora achezee ili asiwe na tabia za kike. Nikakumbuka baba yangu alikuwa anatuambia angependa sana mtoto wake wa kwanza, dada yetu angekuwa mwanaume kwani alikuwa anampenda sana. Na si kuwa hatukuwa na kaka tulikuwa nao.
Na mimi nikakumbuka malezi nilopewa na baba yangu. Alikuwa hataki kabisa tuwe legelege kama wanawake. Kwa mfano alikuwa ananambia hamna mtu anayeweza kuni beat darasani kwani wanawake na wanaume wote ni sawa. Na kweli nilikuwa napata bichwa basi darasani was always perfoming wonders just to please my dady kwani those early days sikujua hata umuhimu wa kusoma. Na imenifanya hata nilipokuwa college undergraduate kuwashangaa sana wasichana wanavyobanana kwa wanaume kuomba msaada wa kufundishwa hata bila kujua viwango vyao vya uelewa. Yaani utakuta wote mko first year hamjajua bado nani kichwa lakini mabinti wanawaaminia wavulana kuwa ndio wenye akili kumbe kuna wadada wenye akili pia.
Kwa baba yangu ilikuwa hata kumwambia baba nimepata mchumba unafikiria mara mbili maana tulishamsoma alikuwa hapendi tuwe under anybody's control.
Sasa haya malezi yamenifanya mfano mie niwe less femine. I rarely see the difference between me and men zaidi ya sex. Swali langu ni kweli wababa wengi mnapenda mabinti zenu wawe na tabia za kiume? Kama ndio kwa nini? Je kuna binti ambae ameshapata same treatment toka kwa baba yake au mumewe ana treat binti zake hivi?
Na mimi nikakumbuka malezi nilopewa na baba yangu. Alikuwa hataki kabisa tuwe legelege kama wanawake. Kwa mfano alikuwa ananambia hamna mtu anayeweza kuni beat darasani kwani wanawake na wanaume wote ni sawa. Na kweli nilikuwa napata bichwa basi darasani was always perfoming wonders just to please my dady kwani those early days sikujua hata umuhimu wa kusoma. Na imenifanya hata nilipokuwa college undergraduate kuwashangaa sana wasichana wanavyobanana kwa wanaume kuomba msaada wa kufundishwa hata bila kujua viwango vyao vya uelewa. Yaani utakuta wote mko first year hamjajua bado nani kichwa lakini mabinti wanawaaminia wavulana kuwa ndio wenye akili kumbe kuna wadada wenye akili pia.
Kwa baba yangu ilikuwa hata kumwambia baba nimepata mchumba unafikiria mara mbili maana tulishamsoma alikuwa hapendi tuwe under anybody's control.
Sasa haya malezi yamenifanya mfano mie niwe less femine. I rarely see the difference between me and men zaidi ya sex. Swali langu ni kweli wababa wengi mnapenda mabinti zenu wawe na tabia za kiume? Kama ndio kwa nini? Je kuna binti ambae ameshapata same treatment toka kwa baba yake au mumewe ana treat binti zake hivi?