komedi
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 204
- 17
Nimemtembelea rafiki yangu mmoja nyumbani kwake maana alinialika kwenye sherehe ya mtoto wake wa kiume kutimiza umri wa miezi sita. Nikashangaa kukuta Lori aina ya fuso linateremsha shehena kubwa ya nepi za watoto. Kabla hata sijamuuliza kulikoni rafiki yangu yule akaniwahi.
''Ah! huyu mtoto hasumbui kingine chochote...si kuumwa umwa wala kukataa watu....lakini anatu-cost nepi ndugu yangu''
Ikabidi niulize ''kwa nini?''
Jamaa akanivuta pembeni na kuninong'oneza.....imebidi tuajiri Houseboy amlee, yaani mtoto akibebwa na demu tu anachana nepi''
''Ah! huyu mtoto hasumbui kingine chochote...si kuumwa umwa wala kukataa watu....lakini anatu-cost nepi ndugu yangu''
Ikabidi niulize ''kwa nini?''
Jamaa akanivuta pembeni na kuninong'oneza.....imebidi tuajiri Houseboy amlee, yaani mtoto akibebwa na demu tu anachana nepi''