Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,877
- 2,758
Huwa inakuwa vipi pale mtoto anapopata ufaham wa kutosha na kugundua baba anaemlea si baba yake? Huwa anamfikiriaje mama yake?
inauma, but inategemea na sababu. hakuna aliye kamili huwezi kuanza kumuhukumu mama wakati mpaka wakati huo na wewe unaweza kuwa umemfanyia mama huyohuyo makosa makubwa but kwa mapenzi yake akakusamehe. So hata yeye anastahili msahama.
Kifupi nampenda mama yangu hata angefanya nini, mimi na yeye tumejifunza kuwa binadamu hayuko perfect so tunasameheana pale mmoja akianguka na kitu ambacho kimenifanya nifurahie maisha.