watoto hawadanganyiki.

fundiaminy

JF-Expert Member
Jun 4, 2009
355
51
Wakiwa ndani ya kanisa mtoto alimuambia mamake,mama nataka kukojoa..mama akamjibu hio sio njia nzuri ya kusema.wakati mwingine ukiwa ndani ya kanisa na unaskia kukojoa sema unataka kuninong'onozea.
Jpili ilofuata mtoto akiwa ndani ya kanisa akiwa na babake akajiskia kwenda kukojoa hivyo akamuambia babake,baba nataka kukunong'onozea..baba akamjibu,si uninong'onozee sikioni..tafakari kilichofuata.
 
Wakiwa ndani ya kanisa mtoto alimuambia mamake,mama nataka kukojoa..mama akamjibu hio sio njia nzuri ya kusema.wakati mwingine ukiwa ndani ya kanisa na unaskia kukojoa sema unataka kuninong'onozea.
Jpili ilofuata mtoto akiwa ndani ya kanisa akiwa na babake akajiskia kwenda kukojoa hivyo akamuambia babake,baba nataka kukunong'onozea..baba akamjibu,si uninong'onozee sikioni..tafakari kilichofuata.

Alimkojolea masikioni.
 
Watoto wanafuata na kutenda wanalofundishwa na wakubwa zao. Kama alimnongoneza baba hakukosea kabisa!
 
Back
Top Bottom