tikatika
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 2,330
- 4,114
Wana cdm na wana jf kwa ujumla wenu tujifunze kuwaandaa watoto kuikataa ccm kama wazazi wenye watoto hawa walivyofanya. Tusipowafundisha kuikataa ccm tutaandaa kizazi cha wezi na wanyonyaji kama wana ccm wanavyo fanya. Leo hii ccm imejaa vijana wezi tena hawana aibu kuutetea kwasababu wamerithi toka kwa baba zao wezi! Usipowaandaa kikataa ccm watoto wako watatumbukia kwa jinamizi huyu ccm!
Tumkumbuke mwalimu huku tukijua kuna watu waliomfanya akawa mwadilifu na hakuwa malaika
Tumkumbuke mwalimu huku tukijua kuna watu waliomfanya akawa mwadilifu na hakuwa malaika