Watoto....best interest.....

Wewe Babygal hivi bila kuenda mbali.... wewe ungelelewa kijijini completly ungekua na exposure ya kua na access ya JF hapa saizi??




Hizo circumstances za kijijini zilikuaje?? Majority inajulikana kabisa akisema kijiji... ni kijijini kweli... huyo mtoto alotolewa mfano hapo, huyo mamake unafikiri kweli anajali welfare ya mtoto kama inavo onesha dhahiri wewe ulikua unalelewa?? labda utuambie ni kitu gania kilifanya uamuzi wa kulelewa wewe huko ulikua ni upi/ au kwa nini??

Nililelewa kijijini mpaka nilipofikisha miaka kumi na tatu..kwa umri kama huo hata ningeenda kuishi na mzazi asiye na muda na mimi isingeniumza wala kuniathiri sana kwasababu tayari nilikua na uwezo wa kuelewa kwamba zipo sababu za yeye kua mbali na mimi.Tofauti na mtoto chini ya umri huo.

Na kwa point naweza kuendelea kumtetea huyo mama ambae ameona kuliko kumtelekeza mtoto wake na house girl asiyemjua wa undani ni bora ampeleke kwa ndugu/wazazi wake anaowajua vuzuri sana kwahiyo ana uhakika kipengele cha manyanyaso hakitakuwepo.Anaweza akawa na malengo ya kumchukua na kukaa nae pindi atakapokua kidogo ili hata ikitokea mfanyakazi akawa sio mzuri sana asiweze kumnyanyasa na kumfanyia mambo yasiyo faa kutokana na umri wake.Atakua na sauti/uwezo wa kukataa inapobidi pia kumweleza mama yake kwa uwazi zaidi kama kuna tatizo.

Again yote nnayoyaongelea sio tu nimeona na kusikia kwa watu wengine bali hata mimi mwenyewe nilipitia.Nilipokua mdogo kidogo nadhani miaka minne au mitano ulitokea msiba ikabidi mama atuache na mfanyakazi.Alitulaza njaa siku hiyo hiyo kwasababu umeme ulikua umekatika/hakununua mafuta ya taa mpaka klgiza linaingia na duka lilikua mbali hivyo kutumia jiko la mchini isingewezekana na mwisho kabisa hakutaka/aliona kazi kuwasha jiko la mkaa.First thing in the morning alikuja dada yetu mmoja kuangalia tunaendeleaje ndo akapata kujua hatukula jana yake (mind you we weren‘t ratting the girl out but something happened so we had to tell) .Sasa hapo ndio muone tofauti ya ndugu (japo nao sio wote wenye mapenzi) na mtu baki awe mfanyakazi au mama wa kambo ambao wengi wao hua hawajali ilimradi wao wapate chao.
 
Of course! Why not? I gave my BabyGal everything. Just because I reared her in a rural small town, that doesn't mean she was deprived. I made sure she got everything that I felt she needed to have including exposure to a lot of things.Don't underestimate folks who live in rural areas and think that somehow they aren't as sophisticated as urbanites.
That‘s my papito..
 
I didn't say you said it and that is why I asked if you do practice it because you were vague in your answer/ statement! Or did you miss the question mark at the end of the sentence?
Our ancestors preached polygamy, huh?
 
Nani mwenye mamlaka ya kuamua mtoto apate wapi mapenzi usemayo? Hapa ndo kunabeba masilahi ya mtoto....I second.... Dah....kuachana ni ngumu sana kumeza ADI.... Aseee....
Mzazi mmoja au wote wawili depending on who‘s more interested on the well-being of the child.
 
Unaposema kwamba hudhani vijijini kuna elimu nzuri na huduma ya afya kuridhisha unamaanisha kwamba wote waliopo mjini wanapata huduma nzuri ya afya na kusoma kwenye shule nzuri?!Kwasababu kama hicho ni kigezo cha kushusha maisha ya kijijini na kupandisha ya mjini basi naomba nikwambie kwamba umefeli.Popote pale ili upate vitu hivyo viwili wa kiwango cha juu na cha kuridhisha basi unahitaji pesa ili kuvilipia.Basi kama ilivyo mjini hata vijijini huduma nzuri zipo kinachohitajika ni pesa yako tu.Na ndio maana bado naamini kwamba huyo mama alifanya jambo la maana kama pesa ya matumizi na kumwezesha mwanae kuishi/kusoma na kulelewa vizuri huko kijijini kwao haikosekani.

Tukirudi kwenye swala la "baba/ mama kua na UWEZO WA KULEA" nadhani unakosea sana unapofikiria uwezo wa kulea upo kwenye pesa pekee.Maana kwa ulivyomwelezea huyo rafikiyo ni dhahiri sio yeye ambae angeshinda na mtoto nyumbani kuhakikisha kwamba anakula na kushinda salama.Wazazi wengi mjini hata nusu saa ya kukaa chini na kuongea na watoto wao hawana kutokana na pilika pilika za mji.Sasa kumlea mtoto katika mazingira hayo hata kama anapata all the latest barbie dolls and little fire tracks it still won‘t make up for the time you/or anyone else closely related to them should spend with them.
Na ndio maana nikasema kwamba muhimu ni mtoto kulelewa kwa upendo na kuyafurahia mazingira aishiyo..kuishi na baba/mama kunaweza kusimpe chochote kati ya hayo mawili hata kama wanatumia pesa kibao kumpeleka hosp akipata homa au kumpeleka shule ambayo haimpi mapenzi anayoyahitaji nyumbani kwasababu wazazi wako bize kutafuta pesa na mtu pekee aliye karibu nae ni mfanyakazi ambae anaweza asiwe
na mapenzi yoyote na huyo mtoto kiasi cha kuweza kumlea kwa taratibu zifaazo.Wakati mtoto huyo huyo angelelewa kijijini (unapopaona duni as if watu wote unaowaona mjini walizaliwa na kulelewa mjini ndo maana wameendelea) na akapata mapenzi mara mia ya ambayo angepata directly toka kwa mzazi wake.

...Narudia tena. Tunatofautiana kimtazamo. Nimetoa mfano wa ndugu yangu, na mazingira ninayoyafahamu.
Kuhusu wote, sina ufahamu huo, kwani kila mtu na experiences zake.

La pili ni hilo la baba anaishi Dar, mama anaishi Arusha, mtoto anaishi kijijini Tanga.
Baba hajamuona binti yake tangu alipoondoka na mama yake, zaidi ya miezi tisa sasa.
Hajui anakula nini, hajui afya yake, yaani communication kuhusiana na binti yake ni Zero!
Sidhani hiyo ni halali.

Tukumbuke, baba mtu kadai haki ya kumuona mwanawe bila mafanikio ndio maana amefikia
kulifikisha suala hili mahakamani. Hapa sidhani kama ninaeleweka kwako nazunguzia Upendo wa aina gani.

Hayo ya huduma nzuri za afya/matibabu, shule nk najua ninachozungumzia na mazingira mtoto alipo.
Naamini tunazungumzia mada ihusuyo Mzazi anapotumia mtoto kumchapia mzazi mwenziwe.
Hudhani huyu baba anayenyimwa haki ya kujua welfare ya mwanawe hayafikirii yote hayo?
 
So you practice polygamy?

But you still haven't answered my question. What does O-D-M stand for? Ol' Dirty Mbuzi?
Thought I was chatting with a real gentleman. I better edit my list.... the earlier the better........ the best...... Cheers!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Thought I was chatting with a real gentleman. I better edit my list.... the earlier the best...... Cheers!

But sir, you still haven't told me what ODM stands for! How many times do I have to keep on asking you? I just didn't think for a single solitary second that such a question would stump you. But it's okay if you don't want to tell me.

I just asked out of curiosity and sorry if in any way, shape, form, or fashion you felt slighted by my words. Have an uber-evening.
 
...Narudia tena. Tunatofautiana kimtazamo. Nimetoa mfano wa ndugu yangu, na mazingira ninayoyafahamu.
Kuhusu wote, sina ufahamu huo, kwani kila mtu na experiences zake.

La pili ni hilo la baba anaishi Dar, mama anaishi Arusha, mtoto anaishi kijijini Tanga.
Baba hajamuona binti yake tangu alipoondoka na mama yake, zaidi ya miezi tisa sasa.
Hajui anakula nini, hajui afya yake, yaani communication kuhusiana na binti yake ni Zero!
Sidhani hiyo ni halali.

Tukumbuke, baba mtu kadai haki ya kumuona mwanawe bila mafanikio ndio maana amefikia
kulifikisha suala hili mahakamani. Hapa sidhani kama ninaeleweka kwako nazunguzia Upendo wa aina gani.

Hayo ya huduma nzuri za afya/matibabu, shule nk najua ninachozungumzia na mazingira mtoto alipo.
Naamini tunazungumzia mada ihusuyo Mzazi anapotumia mtoto kumchapia mzazi mwenziwe.
Hudhani huyu baba anayenyimwa haki ya kujua welfare ya mwanawe hayafikirii yote hayo?

Well since uko tayari tayari sana kumtetea rafikiyo unajua sababu ya mama kumweka mbali na mtoto?!Unajua ni katika harakati gani mtoto alitungwa na hata kuzaliwa?!

Kama majibu ya mwaswali yangu unayo na ndio ukweli wa mambo (hujafichwa wala kudanganywa) basi tumia hayo kupima maamuzi ya mama na kuamua kama kuna usahihi au la.Maana sio rahisi mtu akamnyima mwenzake kumuona tu mtoto (achilia mbali kumchukua) bila sababu ya msingi.Na amini usiamini zipo sababu zinazoweza kumfanya baba au hata mama anyimwe kabisa kua karibu/kumwona mwanae ndio maana hata mahakama hua zinatoa hukumu za aina hiyo sometimes.
 
...Narudia tena. Tunatofautiana kimtazamo. Nimetoa mfano wa ndugu yangu, na mazingira ninayoyafahamu.
Kuhusu wote, sina ufahamu huo, kwani kila mtu na experiences zake.

La pili ni hilo la baba anaishi Dar, mama anaishi Arusha, mtoto anaishi kijijini Tanga.
Baba hajamuona binti yake tangu alipoondoka na mama yake, zaidi ya miezi tisa sasa.
Hajui anakula nini, hajui afya yake, yaani communication kuhusiana na binti yake ni Zero!
Sidhani hiyo ni halali.

Tukumbuke, baba mtu kadai haki ya kumuona mwanawe bila mafanikio ndio maana amefikia
kulifikisha suala hili mahakamani. Hapa sidhani kama ninaeleweka kwako nazunguzia Upendo wa aina gani.

Hayo ya huduma nzuri za afya/matibabu, shule nk najua ninachozungumzia na mazingira mtoto alipo.
Naamini tunazungumzia mada ihusuyo Mzazi anapotumia mtoto kumchapia mzazi mwenziwe.
Hudhani huyu baba anayenyimwa haki ya kujua welfare ya mwanawe hayafikirii yote hayo?
Mheshimiwa Moskwito........ kuna msemo mmoja unasemaga.... "baba wa mtoto ni siri ya mama"........ huenda kuna kauwezekano ka siri flani hapo..
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom