MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
Zaweza kuwepo...japo labda hazitoki kwa mtoto.....
Hivi mzazi wa kike akikosa uwezo wa kukaa na mtoto wa miezi miwili (labda sababu za kimaisha ama ugonjwa)...kwa nini baba asipewe jukumu hilo kama anaweza?
Rai yangu ni muda wote kufanya maamuzi yanayozingatia masilahi ya mtoto kwanza....
Ndio maana nikasema ni vema likaangalia na kigezo cha uwezo hata hivyo nadhani pia kuna assumption kuwa mtoto wa chini ya miaka saba bado anatakiwa kuwa attached na mama yake (kuna ile bond kati ya mama na mwana ambayo ni muhimu sana kipsychologia kwa maendeleo ya mtoto) that is why hata sheria inambana Baba kama mama hana uwezo wa kulea basi baba atoe matumizi wakati mtoto anaendelea kuishi na mama. Ila wengi wetu tunaitumia hii chance vibaya, wengine huwakatalia hata wenzi wao kuja kuwaona watoto wao kwa kisingizio cha ugomvi! ni immature thinking tu na uselfish wa kipotofu.
Mtoto ana haki ya wazazi wote wawili (hata kama wameseparate, wametalikiana au wanaishi pamoja)
Mtoto ana haki ya mapenzi toka kwa pande zote mbili na anayo haki ya kuruhusiwa kupenda wazazi wote wawili