Kite Munganga
Platinum Member
- Nov 19, 2006
- 1,773
- 952
Nasikia ivyo vifo vimetokana na bifu za wafanyabiashara wa kumbi za jirani ati kisa jamaa ana make kupita kiasi.
Cha kushangaza under normal circumstance out of suffocation watu 19 hawawezi kufa ghafla vile.
Anyway tusubili tume
Kesho ukisikia gerezani Keko au Segerea wamekufa kwa suffocation itakuwa BIFU ya serikali na......???