Kuna taarifa ya vijana 19 kufa na 17 kujeruhiwa vibaya katika ukumbi flani ambao sijapata jina lake ni katika sherehe za Eid huko Tabora. Kwa kirefu tutawaletea.
Mungu azipumzishe roho za marehemu mahala pema!
Inasikitisha sana, imetokea tukiwa katika matengenezo muhimu kwa JF, lakini naamini ujumbe umefika.Mungu apumzishe roho zao mahali pema. Tunawaombea walioumia, wapate nafuu haraka.
Huo ukumbi naujua! Mungu awajaalie subira wafiwa na waliojeruhiwa awajaalie kupona, amin, amin, amin.
Inasikitisha sana, imetokea tukiwa katika matengenezo muhimu kwa JF, lakini naamini ujumbe umefika.
Ni katika jengo la NSSF, kwenye ukumbi wa disko. Inadaiwa hewa ilikuwa ndogo sana na walibanana sana ndani ya ukumbi.
Kuna taarifa ya vijana 19 kufa na 17 kujeruhiwa vibaya katika ukumbi flani ambao sijapata jina lake ni katika sherehe za Eid huko Tabora. Kwa kirefu tutawaletea.
Mungu azipumzishe roho za marehemu mahala pema!