Prodigal Son
JF-Expert Member
- Dec 9, 2009
- 1,067
- 699
Inasikitisha na kukatisha taamaa kweli,mashirika mengi ya umaa kama TRC (Reli), ATC, ndege, Simu, viwanda tulitumia nguvu nyingi tena saana kuyaanzisha na mengine yalikuwa yanafanya vizuri saana, kinachoshangaza ni jinsi serekali ilivyoyagawa kwa wawekezaji uchwara na mengine kuyauwa kwa visingizio mbalimbali, nachojiuliza tutaendelea lini???
Serekali ilipokuwa inawapa Wahindi Shirika la Reli inamaana haikuwa inajua kwamba hii kampuni hainauwezo kabisa wakuliendesha hili shirika? Mlikuwa hamna taarifa hawa hawa Wahindi walikuwa wanaendesha shirika la reli huko Angola na Msumbiji wakawa na migogoro lukuki? Pesa mlizotumia kuingiza TRC kwenye huu mkataba feki na Wahindi kuanzia kutangaza tenda, majadiliano mgezipeleka kwenye sekta ya afya mgeokoa roho za Watanzania wangapi? Ngenunua madawati, ni wanafunzi wangapipi wangenufaika?
Nyie watendaji wa Serekali mnaogawa rasilimali za taifa bila uchungu wowote tuwatofautisheje na ile mikataba aliyosaini CHIEF MANGUNGA NA WAJERUMANI????, naangalia mwelekeo wa taifa sioni, TUTAENDELEA LINI?? Nikiamgalia kwa muelekeo Tanzania baada ya mika 50 ijayo itakuwa wapi? Naona giza kabisa, Mipango kibao utekelezaji zero kabisa, Mind set za watawala wetu ni kwamba hiki atatusaidia Mchina, Muingereza, nk, Mbona India, Malysia, Ghana, Rwanda, wameweza angalau kuonyesha mwelekeo?? Kwa miradi mbalimbali iliyoasisisiwa na wakolini serekal Ilihali kila kitu cha kutufanya tuendelee tunacho, nchi imegeuzwa kama sehemu ya kuchumia ukisha maliza unaenda lia Canada, US, UK, Dubai nk.
Enyi watoa maamuzi serekalini mkumbuke Mtayajibu yote hayo mbele ya Mungu siku ikifika. Na ni laana mnajitakia nyie pamoja na uzao wenu wote, Ni vema sasa Watanzania wenzangu tuamke watawala wanatuona kama wajinga ndo maana wanafanya kama wanavyotaka.
Serekali ilipokuwa inawapa Wahindi Shirika la Reli inamaana haikuwa inajua kwamba hii kampuni hainauwezo kabisa wakuliendesha hili shirika? Mlikuwa hamna taarifa hawa hawa Wahindi walikuwa wanaendesha shirika la reli huko Angola na Msumbiji wakawa na migogoro lukuki? Pesa mlizotumia kuingiza TRC kwenye huu mkataba feki na Wahindi kuanzia kutangaza tenda, majadiliano mgezipeleka kwenye sekta ya afya mgeokoa roho za Watanzania wangapi? Ngenunua madawati, ni wanafunzi wangapipi wangenufaika?
Nyie watendaji wa Serekali mnaogawa rasilimali za taifa bila uchungu wowote tuwatofautisheje na ile mikataba aliyosaini CHIEF MANGUNGA NA WAJERUMANI????, naangalia mwelekeo wa taifa sioni, TUTAENDELEA LINI?? Nikiamgalia kwa muelekeo Tanzania baada ya mika 50 ijayo itakuwa wapi? Naona giza kabisa, Mipango kibao utekelezaji zero kabisa, Mind set za watawala wetu ni kwamba hiki atatusaidia Mchina, Muingereza, nk, Mbona India, Malysia, Ghana, Rwanda, wameweza angalau kuonyesha mwelekeo?? Kwa miradi mbalimbali iliyoasisisiwa na wakolini serekal Ilihali kila kitu cha kutufanya tuendelee tunacho, nchi imegeuzwa kama sehemu ya kuchumia ukisha maliza unaenda lia Canada, US, UK, Dubai nk.
Enyi watoa maamuzi serekalini mkumbuke Mtayajibu yote hayo mbele ya Mungu siku ikifika. Na ni laana mnajitakia nyie pamoja na uzao wenu wote, Ni vema sasa Watanzania wenzangu tuamke watawala wanatuona kama wajinga ndo maana wanafanya kama wanavyotaka.