Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,216
- 113,520
Hahahahaha. . . kama unataka kupunguza streas achana na Raisi, yule ni mwongezaji sio mpunguzaji.
Raisi ni stressor?
Hahahahaha. . . kama unataka kupunguza streas achana na Raisi, yule ni mwongezaji sio mpunguzaji.
LIKE. . .. LIKE.
Kurwa kama alivyosema Kongosho kama ukiwa unaelekea nyumbani unakua busy kufuta text, ukiwa fb au JF unachat kimachale mwenzio asije akaona basi una lako jambo.
Raisi ni stressor?
Hahahahaha. . . kama unataka kupunguza streas achana na Raisi, yule ni mwongezaji sio mpunguzaji.
Raisi ni stressor?
wanamaanisha JK au?:A S-coffee:
I gave you another 'Like' just for being your fabulous self.
hahahahahahahahah Kaizer umenivunja mbavu..
Njoo tuifanyie repair lol:wink1::flypig: