Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,806
- 59,285
Hivi umewahi kuona mtu anatetea sana kitu japo kwa nje anaweza akaonekana yeye ndie anaeonewa/kosewa?
Wakati mwingine watu hua wanawatetea wenzao sio kwasababu wanapenda bali kwasababu nafsi zao zinawasuta. Yani kile wanachotetea na wao hua wanafanya sema tu hawajulikani. [Mf. Mzuri ni wadada wa kazi na ndugu wengine au hata marafiki. . . unakuta pesa imepotea ndani na tayari yupo mtoto ambae anajulikana ndio mdokozi. All of the sudden anaibuka mtu na kuanza kumtetea yule mtoto kuwa "hakukusudia, pengine hatorudia tena, pengine watoto wenzake walimlazimisha/ mponza"] ili asiadhibiwe kwasababu yeye ndie aliechukua hiyo pesa hivyo kwasababu hawezi kukiri ili aadhibiwe yeye anatafuta namna ya kumtetea yule anayetuhumiwa ili asiadhibiwe bure.
Anyway, nimejikuta nafikiria haya kwasababu nashawishika kufanananisha 'BAADHI' ya watu wanaotetea waume/wake/wapenzi wao wanapocheat na kuishia kutoa visingizio vingi vya kwanini wenzi wao wamecheat ili waonekane hawana hatia.
Inawezekana 'baadhi' ya hawa watu na ni cheaters kwa namna yao wenyewe (kuflirt na co-worker/marafiki, kuwa na mpenzi wa kwenye mtandao, kuwa na mtu ambae wanafantasize juu yake, kuwa na mtu wanaemtamani na kumuota kila walalapo) hivyo wanashindwa kuwahukumu wenzi wao moja kwa moja na kukataa kuonewa kwasababu hata wao wana yao. Hususan wale wanaotetea sana privacy ya simu na account za mitandaoni, inawezekana wanafanya hivyo kwasababu huko ndipo wao wanapofanya yale yanayowapa wao nafuu na hawataki wenzi wao wajue.
Mimi nadhani huo ndio uhalisia, na haijalishi mara ngapi nasikia watu wakisema 'privacy muhimu' bado sijashawishika kwamba mtu ambae unakula nae, unalala nae, unamwita ubavu wako wa pili , unazaa nae anatakiwa apewe mipaka kwenye vitu ambavyo sio muhimu ikiwa havifichi siri yoyote. Ningefurahi kweli kama watu wasiweza kutulia kwenye mahusiano ya watu wawili tu wasingekubali kuao ama kuolewa, labda ndoa ingerudi kuwa kitu cha heshima tofauti na sasa ilovyogeuzwa kuwa "cover" ya maovu.
Wakati mwingine watu hua wanawatetea wenzao sio kwasababu wanapenda bali kwasababu nafsi zao zinawasuta. Yani kile wanachotetea na wao hua wanafanya sema tu hawajulikani. [Mf. Mzuri ni wadada wa kazi na ndugu wengine au hata marafiki. . . unakuta pesa imepotea ndani na tayari yupo mtoto ambae anajulikana ndio mdokozi. All of the sudden anaibuka mtu na kuanza kumtetea yule mtoto kuwa "hakukusudia, pengine hatorudia tena, pengine watoto wenzake walimlazimisha/ mponza"] ili asiadhibiwe kwasababu yeye ndie aliechukua hiyo pesa hivyo kwasababu hawezi kukiri ili aadhibiwe yeye anatafuta namna ya kumtetea yule anayetuhumiwa ili asiadhibiwe bure.
Anyway, nimejikuta nafikiria haya kwasababu nashawishika kufanananisha 'BAADHI' ya watu wanaotetea waume/wake/wapenzi wao wanapocheat na kuishia kutoa visingizio vingi vya kwanini wenzi wao wamecheat ili waonekane hawana hatia.
Inawezekana 'baadhi' ya hawa watu na ni cheaters kwa namna yao wenyewe (kuflirt na co-worker/marafiki, kuwa na mpenzi wa kwenye mtandao, kuwa na mtu ambae wanafantasize juu yake, kuwa na mtu wanaemtamani na kumuota kila walalapo) hivyo wanashindwa kuwahukumu wenzi wao moja kwa moja na kukataa kuonewa kwasababu hata wao wana yao. Hususan wale wanaotetea sana privacy ya simu na account za mitandaoni, inawezekana wanafanya hivyo kwasababu huko ndipo wao wanapofanya yale yanayowapa wao nafuu na hawataki wenzi wao wajue.
Mimi nadhani huo ndio uhalisia, na haijalishi mara ngapi nasikia watu wakisema 'privacy muhimu' bado sijashawishika kwamba mtu ambae unakula nae, unalala nae, unamwita ubavu wako wa pili , unazaa nae anatakiwa apewe mipaka kwenye vitu ambavyo sio muhimu ikiwa havifichi siri yoyote. Ningefurahi kweli kama watu wasiweza kutulia kwenye mahusiano ya watu wawili tu wasingekubali kuao ama kuolewa, labda ndoa ingerudi kuwa kitu cha heshima tofauti na sasa ilovyogeuzwa kuwa "cover" ya maovu.