" Amwambiaye mtu mwovu, wewe una haki;
Kabila za watu watamlaani, taifa watamchukia;
Bali kwao wakemeao furaha itakuwako;
Na baraka ya kufanikiwa itawajilia" Mithali 24: 24-25
" Amwambiaye mtu mwovu, wewe una haki;
Kabila za watu watamlaani, taifa watamchukia;
Bali kwao wakemeao furaha itakuwako;
Na baraka ya kufanikiwa itawajilia"
Mithali 24: 24-25 (Biblia: Maandiko Matakatifu)
Na maandiko yanasema, dunia na mambo yake yote yatapita, lakini neno la BWANA halitapita. Mungu si mwanadamu hata akasema uongo. Haya tunayashudia leo hii katika dunia hii. Afrika yote imeamka watetezi wa waovu wanalaaniwa kila uchao. HALELUYAAAAAAAAAAAAA!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.