Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,342
- 6,467
Hii inaweza kuwa ni clue nzuri ya kumfahamu mwenye mkono kwenye masahibu yaliyompata Dr. Ulimboka. Hivi ni nani anayekihofia Chadema hapa Tanzania? Chadema ni taasisi gani? Jibu la swali la pili ni chama cha siasa, chama cha upinzani rasmi bungeni, chama tishio kwa CCM.
Source: Mtanzania, 29 Juni 2012.
Source: Mtanzania, 29 Juni 2012.