Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,941
- 9,947
Naangalia mjadala wa Bunge na kuna Mbunge ameomba mwongozo wa spika kuhusu uchangiaji akisema kwamba yeye ni wa 16 kwenye orodha lakini ameitwa mchangiaji wa 20 yeye hajaitwa!! Mwenyekiti ameseema kuna wabunge wamefanya lobbying kwa watendaji wa Bunge na hivyo kuna orodha feki ya wabunge wa kuchangia!! Hapa ni nini, si kuwa watendaji wamekula?