Watch TBC Live: Matumizi ya Kikoa Cha .tz (dot tz domain name)!.

Eti anasema faida ya .tz ni kwamba ukifanya international biz,watu wa nje ni rahisi kukuamini kua unatoka tz kwa kutumia .tz coz .com ni ngumu kukuamini.
 
Basi aina tija kujiunga na .tz wkt content ni ile ile yl gharama ni kubwa.

Lakini kubwa zaidi ni security. Sijui wamejipanga vipi na wadukuzi (hackers). Kama hata emails za yahoo na hotmail zinakuwa hacked, sijui hawa watakabiliana vipi na hili tatizo.
 
Waulize nini tofauti ya .tz na .com?
.tz maana yake uko Tanzania, kama ilivyo code +255 kwenye simu!. . com ni uko popote, dili zote za wizi kwenye mtandao, mijizi inatumia .com kwa vile no trace, ukitumia.tz huwezi kufanya madudu!.
 
.tz maana yake uko Tanzania, kama ilivyo code +255 kwenye simu!. . com ni uko popote, dili zote za wizi kwenye mtandao, mijizi inatumia .com kwa vile no trace, ukitumia.tz huwezi kufanya madudu!.

Mbona niki-trace JF inaniambia kwamba ipo dallas,so its possible kwa wanigeria kutumia .tz kupiga watu michanga ya macho.
 
Lakini kubwa zaidi ni security. Sijui wamejipanga vipi na wadukuzi (hackers). Kama hata emails za yahoo na hotmail zinakuwa hacked, sijui hawa watakabiliana vipi na hili tatizo.

Hatuna uwezo wa kukabiliana na hili hapa ni kutumia hiyo kitu .tz halafu unasali kwa Mungu usije ukakuta info nyeti zimewahiwa na wajanja.
 
Eti anasema faida ya .tz ni kwamba ukifanya international biz,watu wa nje ni rahisi kukuamini kua unatoka tz kwa kutumia .tz coz .com ni ngumu kukuamini.

Kuna ukweli hapo. Country specific domain inaongeza buyer Confidence. Using a country specific domain will often give the buyer more confidence when making a purchase as they consider the site to be local, therefore governed under the same laws as the buyer. This makes it easier to follow up and sales and make complaints if any problems occur during the purchase of the product. It also helps to settle any nerves if the buyer is able to see a street address that they recognize, rather than a foreign address. Tatizo kwetu address zetu ni P.O.Box. Difficult to trace down.
 
.tz maana yake uko Tanzania, kama ilivyo code +255 kwenye simu!. . com ni uko popote, dili zote za wizi kwenye mtandao, mijizi inatumia .com kwa vile no trace, ukitumia.tz huwezi kufanya madudu!.

pasco unaweza kufungua site kwakutumia .tz halafu ukaoperate nje ya tz na ukafanya uharamia na hiyo +255 zinachakachuliwa sana na nirahisi, hata +44 through call divert we do
 
pasco unaweza kufungua site kwakutumia .tz halafu ukaoperate nje ya tz na ukafanya uharamia na hiyo +255 zinachakachuliwa sana na nirahisi, hata +44 through call divert we do

Umeooonaaaa eh,ulimwengu huu wa utandawazi na teknohama ni rahisi sana kupigwa mchanga wa macho,call boxing hackers kibao,watu watafungua hzo .tz na watapiga vilevile,nenda nigeria uone wana .jp na wanapiga kinomaaaa!
 
Naona huyu Zakaria anaona amevaa suti nzuri sana na sasa anataka kujua kwa nini JF and the like wanajadili utendaji mbovu wa viongozi na watendaji mbalimbali.Kweli hana maswali ya kuuliza sasa anatoka nje ya mada kurefusha mazungumzo.

Labda kauliza hilo kiujanja. Angeuliza tuu kama JF ikiwa na kikoa cha co.tz itakuwa rahisi kudhibitiwa hasa na wale wasiopenda yanaoandikwa humu?
 
.tz maana yake uko Tanzania, kama ilivyo code +255 kwenye simu!. . com ni uko popote, dili zote za wizi kwenye mtandao, mijizi inatumia .com kwa vile no trace, ukitumia.tz huwezi kufanya madudu!.

Pasco hakuna tofauti kubwa na iliyopo kwa inaweza kuwa theoretical tuu. Practically, kinacho matter ni content ya site yenyewe. Kama content nzuri wanunuzi watakuja tuu regardless unatumia kikoa kipi. Kama content ni relevant, means watembeleaji ni wengi. Kama watembeleaji ni wengi means Google itakuwa inatembelea site yako mara kwa mara na ku-index zaidi content iliyopo.

Angalia kwa kwa mfano JF inayotumia .com inaongoza kwenye seach engine kwa kuwa na contents za Kiswahili. Kitu kingine siku hizi Google nao wameendelea to the extent kuwa badala ya kuwa .co.tz unaweza ku-specify location ya site yako ndani ya Google Webmaster's tool regardless of kikoa au hostin, thereby saving the costs of buying a country specific domain. Narudia tena: Spend responsibly by using the available technology.
 
Pasco hakuna tofauti kubwa na iliyopo kwa inaweza kuwa theoretical tuu. Practically, kinacho matter ni content ya site yenyewe. Kama content nzuri wanunuzi watakuja tuu regardless unatumia kikoa kipi. Kama content ni relevant, means watembeleaji ni wengi. Kama watembeleaji ni wengi means Google itakuwa inatembelea site yako mara kwa mara na ku-index zaidi content iliyopo.

Angalia kwa kwa mfano JF inayotumia .com inaongoza kwenye seach engine kwa kuwa na contents za Kiswahili. Kitu kingine siku hizi Google nao wameendelea to the extent kuwa badala ya kuwa .co.tz unaweza ku-specify location ya site yako ndani ya Google Webmaster's tool regardless of kikoa au hostin, thereby saving the costs of buying a country specific domain. Narudia tena: Spend responsibly by using the available technology.

Mkuu EMT nakuelewa sana hapo.But still some people just want to find out how challenging parking at your own risk is.
 
Meneja wa TzNic, Abibu Ntahingiye amesema Watanzania wanapaswa kutumia kikoa cha .tz badala ya kushadadia mitandao ya bure ya .com


Kuna tofauti gani kati ya
.co.tz na .com
Kuna faida gani kutumia hicho kikoi cha .tz

Kiswahili kinazidi kuwa kigumu mameno mapya magumu mapya kila siku
 
Bado naamini ni bora wafanya biashara wachague wenyewe.
Mkuu EMT, kiukweli hii issue ya kutumia kikoa cha .tz bado ni subject ya wider discussion between being a matter of choice, optional or compulsory.

Nimeona wenzetu wanatumia mfano Japan ni .jp na South Africa ni .za hivyo sio why not .tz kwa all registered entities, ila tatizo ninaloliona ni the capacity to manage. Kama hadi ikulu wanatumia email za yahoo na gmail as more reliable kuliko .tz, then hatuna sababu ku force watu kutumia .tz, kitu cha kufanya ni kwanza tujenge the capacity to manage hiyo .tz assuming watanzania wote milioni 59 watakuwa on line na entities million 100, then TCRA ndipo itoe muongozo huo, kama kwenye simu tumeweza kwa country code 255, why not .tz?. Hizi za free zibaki kwenye social networking lakini every official websites na official communications be through .tz.

Paskali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom