Nyati
JF-Expert Member
- Mar 6, 2009
- 2,489
- 1,813
Nguruwe pita!
Umeacha wapi mkuki wewe masai!?
Nguruwe pita!
Naona kama wewe ndio Unaropoka, nimetoa advantages za hizi huduma kama vile kurahisisha utumaji, upokeaji pamoja na uhifadhi wa hela, pia ajira.
Pia nikatoa na tahadhari na namna mbalimbali watu wanavyolizwa.
Au mkuu wewe ni mojawapo ya hao Walizaji so nimegusa anga zako nin??