Watawala wetu wajifunze nini kutokana na anguko la "COLONEL GHADAFI"?

Chatumkali

JF-Expert Member
Sep 9, 2011
2,037
458
Dunia inashuhudia mwisho wa dola ya GADAFI baada ya miongo takriban minne ya utawala wake.Je ni sahihi kusema kwamba nguvu ya umma imeongea?Je tuamini kwamba ni fitna za mataifa ya magharibi?Je,watawala wetu wajifunze nini kutokana na anguko hilo la kihistoria?
 
Hakuna kinachoitwa dola ya Ghadafi, ni serikali ya Libya iliyoondoshwa kwa nguvu za NATO, Afrika haina cha kujifunza zaidi ya kutengeneza serikali ya watu, na kujiandaa na vita ikibidi wekeza kwenye atomic kwani walimwengu hawaaminiki.
 
Back
Top Bottom