Crown Prince wa saudi Arabia ambae pia ni Wazziri wa masuala ya Anga ametowa agizo kwa Wasaudi wote waliokwama ulaya kutokana na kuahirishwa safari za ndege kutokana na mlipuko wa Volcano, kutafutiwa hoteli na yeye Prince atalipa kwa pesa zake gharama za hoteli.
Suala la kujiuliza ni nini kimemsukuma kufanya hivyo? Pengine kubwa ni kujali watu wake?
Suala la kujiuliza ni nini kimemsukuma kufanya hivyo? Pengine kubwa ni kujali watu wake?