Deadline ya HESLB imeshapita ( 25/08).TCU ya kwao 29/08 je hawa watapata mkopo au HESLB itasogeza?
Soma vizuri hyo new ya HESLB cio unakuwa unatisha wa2 kwamba watapata au la. HESLB wametoa wiki 2 kuanzia tarehe 15/08/2012 it means the deadline will on 29/08/2012 as the deadline of Application 2nd round ya TCU.
mbona wewe ndio huko wrong hebu hesabu kuanzia tarehe 15 hadi 18 ni wiki ya kwanza, tarehe 19 hadi 25 ni wiki ya pili usichukue 15 + 14