Wataokwamisha sensa kukiona...!

Wasitutishe, hatukubali kuhesabiwa na hakuna lolote wanaloweza kufanya.
Naunga mkono hoja 100%, Raisi wa kwetu, makamu wa kwetu, mkuu wa wapigaji risasi wa kwetu, kasoro waziri mkubwa tu, watatufanya nini????????? Hatudanganyiki. walituahidi mahakama yetu wao wenyewe, na ushahidi wa maandishi tunao. sisi tuko 75% eti wao wanadai sisi tuko 34%. Hatudanganyiki!!!!!!!
 
Mkuu fanya Yote ila usigomee sensa! Mi nipo huku kwenye Mafunzo. Nachotaka kukuambia akikushawishi karani uesabiwe ni bora ukakubali..

Maana Tumeambiwa kuwa Kama mtu akigoma Unanyanyua simu yako unampigia Msimamizi mkuu, sasa yeye ndo atajua cha kufanya..

KILA MTU ATAHESABIWA

Kwani si lazima mpige hodi... Nyumba kimya hakuna anayefungua .. mtasubiri??
 
Kwanza suala la kuheasbiwa halina maana,kwenye majina ya sensa wamechakachua wakaweka watu wao vijana waliomaliza elimu ya form six,chuo hawajapata nao wanahasira na sensa watawahesabu watu wao waliowajiri kwa kuwa sina ajira sipendi na sitaki kuhesabiwa.AJIRA KWA VIJANA KWANZA
 
Mashehe wako right.
Tanzania ya sasa haihitaji sensa.
Takwimu haiisaidii serikali ya Kikwete.
Loss of billions unnecessarily.
Tusubiri nchi ikipata serikali itakayokuwa accountable kwa wananchi wake watafanya sensa yenye tija kwa taifa.
Ya sasa ni sehem ya madili yao.
 
Kwani si lazima mpige hodi... Nyumba kimya hakuna anayefungua .. mtasubiri??

HAKUNA AMBAYE HATA HESABIWA . Sensa ni Siku 7. Hatua kali zitachukuliwa kwa Mtu yeyote atakayemsumbua/kumtisha na kumkwamisha Karani wa SENSA.

Take my words from Mafunzo ya Sensa
 
Rc yupo kwa maslahi ya serekali enyi mazombi msio elewa. Mashehe wapo kwaajiri ya waumini. So ile sera ya bush ya bad muslm an gud muslim. Asifiaye mvua imemnyea. Im bad muslim for all of u zombe's. Istoshe jela kwetu suna kufa kwetu faradhi na niibada. Aanzishe nasi tutamaliza.
 
Mkuu fanya Yote ila usigomee sensa! Mi nipo huku kwenye Mafunzo. Nachotaka kukuambia akikushawishi karani uesabiwe ni bora ukakubali..

Maana Tumeambiwa kuwa Kama mtu akigoma Unanyanyua simu yako unampigia Msimamizi mkuu, sasa yeye ndo atajua cha kufanya..

KILA MTU ATAHESABIWA

Hii nchi inaraha kila kukicha..
 
Amuulize DANIEL OLEI NJULAI ye mbona bwana mdogo sana. Alichemka kafili ndo atakua yeye mnafiki!
 
Naunga mkono hoja 100%, Raisi wa kwetu, makamu wa kwetu, mkuu wa wapigaji risasi wa kwetu, kasoro waziri mkubwa tu, watatufanya nini????????? Hatudanganyiki. walituahidi mahakama yetu wao wenyewe, na ushahidi wa maandishi tunao. sisi tuko 75% eti wao wanadai sisi tuko 34%. Hatudanganyiki!!!!!!!

Nina msisimko mkubwa wa kusubiri siku ya sensa.
 
HAKUNA AMBAYE HATA HESABIWA . Sensa ni Siku 7. Hatua kali zitachukuliwa kwa Mtu yeyote atakayemsumbua/kumtisha na kumkwamisha Karani wa SENSA.

Take my words from Mafunzo ya Sensa
Mkuu, nadhani tunajadili humu ndani na watoto wa darasa la pili. Hivi kweli kama mtu una watu wanakutegemea au una mji wako , kazi/biashara nk , unaweza kweli kukubali usumbufu utakaoupata baada ya kugoma kuhesabiwa? Yaani upelekwe polisi/ufunguliwe kesi/upate inconveniences kibao eti kwa sababu ya shehe Ponda? Unajua Shehe Ponda anapata wapi hela ya kula? Nadhani watakaogoma kuhesabiwa ni wale tu wavuta bangi/wazee wa vijiweni nk ambao hawana kitu chochote cha kupoteza. Sidhani kama kuna muislam Tanzania mwenye ajira yake anayeweza kugoma na kuiharibu CV yake na mstakabali wake eti kwa sababu tu shehe ponda kasema agome...
 
Mbona sensa yenyewe imeshakuwa ni usanii mtupu!!!! labda watahesabu 25% tu ya Watanzania...Serikali DHAIFU....kila kitu ni hovyo hovyo!!!!
 
Mashehe wako right.
Tanzania ya sasa haihitaji sensa.
Takwimu haiisaidii serikali ya Kikwete.
Loss of billions unnecessarily.
Tusubiri nchi ikipata serikali itakayokuwa accountable kwa wananchi wake watafanya sensa yenye tija kwa taifa.
Ya sasa ni sehem ya madili yao.

painful truth
 
Mashehe wako right.
Tanzania ya sasa haihitaji sensa.
Takwimu haiisaidii serikali ya Kikwete.
Loss of billions unnecessarily.
Tusubiri nchi ikipata serikali itakayokuwa accountable kwa wananchi wake watafanya sensa yenye tija kwa taifa.
Ya sasa ni sehem ya madili yao.

...Sadly, You have a Point Comrade GateCrasher...
 
Dini gani na ili iweje.

Hapa tz dini ni upagani tu na ndiyo maana haijasajiliwa wizara ya mambo ya ndani. Vingine vyote ni vikundi -associations na ndiyo maana ili viendeshe shughuli zake lazima viombe usajili/ruhusa.

and so they are obliged to comply na aliyewasajili

kusajili mmeomba kisha mnataka kumwendesha aliyewasajili....sawa na mpangaji kumwendesha mwenye nyumba.

Ombeni kufutwa usajili kwanza

ww unajua maana ya dini
 
Sensa ya mabavu hy si sensa serikali inajidanganya mmechemka jipangen upya 'sihesabiwii' sitomkwaza karan ila ntakuw bub
 
Back
Top Bottom