Bollo Yang
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 440
- 50
Leo kweli nimeamini Watanzania wanaweza kuwahi maofisini..hakuna cha anaepanda dala dala wala mwenye gari binafsi, watu wengi leo (Wa Dar) wamefika maofisini kabla ya saa moja asubuhi..mnaonaje wadau kama hii ndio ingekua kawaida....