Curriculum Specialist
JF-Expert Member
- Oct 8, 2007
- 2,731
- 749
Mimi Mbunge wangu kule jimbo la Bahi ni form four ya kuunga tena ni ccm kumuona tu waziri mkuu yeye ni fahari na ujiko wa kisiasa huko jimboni, hatadhubutu hata kuwa karibu na Zitto! Ila nahamasisha wananchi tumng'oe uchaguzi ujao hana Maslahi kwetu wala kwa taifa, ni mbunge wa ccm wala si mbunge wa jamhuri ya muungano!