Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,163
sijui hata kinaitwaje, ila kuanzia mwezi nadhani wa kumi mwaka jana hakifanyi kazi, sijui ilikuwaje.
Tukaambiwa matengezo yatafanyika March mwaka huu hola, ngoja J3 nikacheki tena.
Tukaambiwa matengezo yatafanyika March mwaka huu hola, ngoja J3 nikacheki tena.
Kile kipimo Kongosho, kinaitwa bone scanner, ni kwa ajili ya kuweza kugundua saratani imesambaa kiasi gani kwenye mifupa
Last edited by a moderator: