Watanzania wenzangu...

sijui hata kinaitwaje, ila kuanzia mwezi nadhani wa kumi mwaka jana hakifanyi kazi, sijui ilikuwaje.

Tukaambiwa matengezo yatafanyika March mwaka huu hola, ngoja J3 nikacheki tena.

Kile kipimo Kongosho, kinaitwa bone scanner, ni kwa ajili ya kuweza kugundua saratani imesambaa kiasi gani kwenye mifupa
 
Last edited by a moderator:
I always wonder,hivi mhando na trupu lake la tanesco wakiamua kugoma na kuzima mitambo mtera itakuwaje? Dawasco nao wakigoma na kuzima mitambo ruvu chini itakuwaje? Na staff wa huduma za anga wakizima mitambo kisa haina quality itakuwaje? Na zima moto waki down tools kisa magari mazee je? For that matter hata wazoa taka darisalama waki down tools je?
This reminds me story ya Anus iliyogoma kupitisha choo eti inadharauliwa matokeo yake ikawa ni head ache na mwili mzima kuwa dysifunctional.
Ndugu zangu hakuna taaluma iliyo bora kuliko nyingine,hata Invisible na taaluma yake ya IT ana mchango mkubwa tu katika jamii.
Nawasilisha,
Bishanga Abashaija.

wewe unapotosha nani amesema taaluma fulani ni bora kuliko nyingine
taaluma zote zinategemeana lakini haimaanishi kuwa ndio msifanye juhudi za kuboresha huduma......
Yaani umeridhika kulala chini hospitalini
huyu mgonjwa anaharisha damu wewe una malaria mnashea godoro chini ,melala
na uwezo wa kuboresha nchi yetu inayo
kama wewe si mmoja wa wanao iba uchumi wa watanzania basi mawazo yako yananitia kichefuchefu kama ni mwizi basi una haki ya kuandika haya
 
chit chat na mmu oyeeee

huku sitii neno maana walishaninyoa sasa naoopa kunyolewa ngozi.

Kuna kipimo cha figo pale ocean road kimekufa, mgonjwa anaambiwa aende Bugando, nauli, mahali ya kuishi, gharama ya kipimo chenyewe, wanyonge bora turudi kwenye maombi tu.
na mwaka huu kina kalumanzila watajenga maghorofa.
 
wewe unapotosha nani amesema taaluma fulani ni bora kuliko nyingine
taaluma zote zinategemeana lakini haimaanishi kuwa ndio msifanye juhudi za kuboresha huduma......
Yaani umeridhika kulala chini hospitalini
huyu mgonjwa anaharisha damu wewe una malaria mnashea godoro chini ,melala
na uwezo wa kuboresha nchi yetu inayo
kama wewe si mmoja wa wanao iba uchumi wa watanzania basi mawazo yako yananitia kichefuchefu kama ni mwizi basi una haki ya kuandika haya
ndo maana Kambarage wa Burito alijisemeaga..'argue don't shout',
Mazee hivi ili u drive in point lazima umdhalilishe mtoa mada?
Anyway enjoy your weekend.
 
Kwangu mimi Siasa ni mchezo wa kuigiza. Twenzetu turudi nyumbani. Yani Bishanga leo yuko huku?

_DSC0014.JPG

nakuona Asprin hapo kwa nyuma in dark glasses, kumbe we sekree?
 
sijui hata kinaitwaje, ila kuanzia mwezi nadhani wa kumi mwaka jana hakifanyi kazi, sijui ilikuwaje.

Tukaambiwa matengezo yatafanyika March mwaka huu hola, ngoja J3 nikacheki tena.
Kongosho,kumbe ukiwa ubaazi huu unakuwaga na adabu eh?
 
Last edited by a moderator:
Sina tabia ya kufungua nyuzi jukwaa la siasa (JLS), anga zangu ni mmu na chi chat.
Lakini katika hili la hospitali ya muhimbili kwa kuwa naijua vyema naomba niseme haya yafuatayo:
1.MRI ( magetic resonance imaging):
Mashine hii muhimbili ipo,gharama za kipimo ni sh 120,000.-
Ukienda agha khan,regency na hindu mandal unapigwa sh 540,000.- kwa kipimo.
2.CT scanning:
Muhimbili tsh 80,000.-
Ukienda agha khan,regency na hindu mandal unapigwa sh 360,000.-
3. Kidney dialysis:
Hiyo ndo usiseme.
In short,vipimo hivi day in day out ukienda muhimbili unaambiwa vimekufa, nenda agha khan,hindu mandal na regency,same doctors hao hao wa muhimbili wana handle vifaa hivi private hospitals na kutoa majibu kwa gharama kubwa,mnyonge inabidi augulie tu cant afford.
Kila kukicha technians from Phillips company Uholanzi wanakuja TZ kurekekibisha mashine hizi muhimbili na zinakuwa ok,wakitoka tu zinakufilia mbali, patients wanaendelea wenda private hospitals,doctors wanalalamika vifaa duni.
Tutafika kweli?????

Asante

Ila mimi nimepeleka watu wawili, mama mzazi na mjomba kwa ajili ya MRI na CT scan. Mbona nilipiga kama kawaida? Ina maana Muhimbili ipo mara mbili au?
 
Asante

Ila mimi nimepeleka watu wawili, mama mzazi na mjomba kwa ajili ya MRI na CT scan. Mbona nilipiga kama kawaida? Ina maana Muhimbili ipo mara mbili au?
yote ni kushukuru Mungu,angalau umepata huduma. Pole na kuumwa.
 
What of other government hospitals? Hakuna dawa hakuna vifaa, maabara vipimo hakuna. Na kwa sasa hospitali ya mkoa Kilimanjaro hakuna chumba cha upasuaji zaidi ya mwaka, wananchi wanateseka sana, is the government serious? Hakuna maintenance services ya mashine zetu kila ikisema inahitaji maintenance jibu ni pesa hakuna, kiufupi serikali bado haijali afya za wananchi wake, huku hospitali za wilaya hata x ray machine hakuna, madaktari watende miujiza kutibu?

Kutibu huu ugonjwa wote ni kutumbukiza the right vote in that ballot box. kinachonishangaza hawa hawa wanaoteseka na hii regime ndo hawa hawa wanosahau in 5 years. Mtanzania ana kawaida ya kutunza kumbu kumbu kwa 4.5 years halafu anafuta everything anajaziwa tena pumba kwenye memory yake after being flashed completely. Kuna maeneo kwa miaka 50 wamekuwa wakiahidiwa huduma na mpaka sasa ni mchakato. upembuzi yakinifu, mipango,majadiliano, and all ****ing words they use yet pipo listen.
 
Back
Top Bottom