Watanzania wenzangu...

Bishanga

JF-Expert Member
Jun 29, 2008
15,323
10,050
Sina tabia ya kufungua nyuzi jukwaa la siasa (JLS), anga zangu ni mmu na chi chat.
Lakini katika hili la hospitali ya muhimbili kwa kuwa naijua vyema naomba niseme haya yafuatayo:
1.MRI ( magetic resonance imaging):
Mashine hii muhimbili ipo,gharama za kipimo ni sh 120,000.-
Ukienda agha khan,regency na hindu mandal unapigwa sh 540,000.- kwa kipimo.
2.CT scanning:
Muhimbili tsh 80,000.-
Ukienda agha khan,regency na hindu mandal unapigwa sh 360,000.-
3. Kidney dialysis:
Hiyo ndo usiseme.
In short,vipimo hivi day in day out ukienda muhimbili unaambiwa vimekufa, nenda agha khan,hindu mandal na regency,same doctors hao hao wa muhimbili wana handle vifaa hivi private hospitals na kutoa majibu kwa gharama kubwa,mnyonge inabidi augulie tu cant afford.
Kila kukicha technians from Phillips company Uholanzi wanakuja TZ kurekekibisha mashine hizi muhimbili na zinakuwa ok,wakitoka tu zinakufilia mbali, patients wanaendelea wenda private hospitals,doctors wanalalamika vifaa duni.
Tutafika kweli?????
 
Kuwa makini na toa taarifa sahihi ct scan mnh ni lak 1.7 na ni mbovu mda mrefu , mashine moja inahudumia nchi nzima haifanyiwi service itadumu vipi???
 
Bishanga unashangaa hayo? hivi pasi hata kwenda kote huko jiulize nani ndiye msimamizi wa afya wa watanzania?
 
Last edited by a moderator:
Bishanga acha wote waondoke, MUNGU atajua cha kufanya ni bora tuanze na Wazalendo wenye moyo wa kuijenga nchi sio hawa wanaotaka maslahi kwanza.
Kwanza mm mtu wa kijijini huko Muhimbili sitafika kwani ni 0.03 ya Watanzania milioni 45 ndio wanaofika hapo, kwa hiyo hata hizo mashine wakiziCollapse sisi tutavuna na miti shamba ya mababu tutatumia
Kwa ufupi hao MaDr waresign labda Nchi itatulia maana hata hayo maandamano ya j3 hayana tija kwani FFU wanajifua nao wanatamani huo mshahara wa 7,7m au nao wagome wanashindwa
 
Kuwa makini na toa taarifa sahihi ct scan mnh ni lak 1.7 na ni mbovu mda mrefu , mashine moja inahudumia nchi nzima haifanyiwi service itadumu vipi???
nini sasa hujaelewa hapo,rudia kusoma thread
 
Bishanga acha wote waondoke, MUNGU atajua cha kufanya ni bora tuanze na Wazalendo wenye moyo wa kuijenga nchi sio hawa wanaotaka maslahi kwanza.
Kwanza mm mtu wa kijijini huko Muhimbili sitafika kwani ni 0.03 ya Watanzania milioni 45 ndio wanaofika hapo, kwa hiyo hata hizo mashine wakiziCollapse sisi tutavuna na miti shamba ya mababu tutatumia
Kwa ufupi hao MaDr waresign labda Nchi itatulia maana hata hayo maandamano ya j3 hayana tija kwani FFU wanajifua nao wanatamani huo mshahara wa 7,7m au nao wagome wanashindwa
I always wonder,hivi mhando na trupu lake la tanesco wakiamua kugoma na kuzima mitambo mtera itakuwaje? Dawasco nao wakigoma na kuzima mitambo ruvu chini itakuwaje? Na staff wa huduma za anga wakizima mitambo kisa haina quality itakuwaje? Na zima moto waki down tools kisa magari mazee je? For that matter hata wazoa taka darisalama waki down tools je?
This reminds me story ya Anus iliyogoma kupitisha choo eti inadharauliwa matokeo yake ikawa ni head ache na mwili mzima kuwa dysifunctional.
Ndugu zangu hakuna taaluma iliyo bora kuliko nyingine,hata Invisible na taaluma yake ya IT ana mchango mkubwa tu katika jamii.
Nawasilisha,
Bishanga Abashaija.
 
Sina tabia ya kufungua nyuzi jukwaa la siasa (JLS), anga zangu ni mmu na chi chat.
Lakini katika hili la hospitali ya muhimbili kwa kuwa naijua vyema naomba niseme haya yafuatayo:
1.MRI ( magetic resonance imaging):
Mashine hii muhimbili ipo,gharama za kipimo ni sh 120,000.-
Ukienda agha khan,regency na hindu mandal unapigwa sh 540,000.- kwa kipimo.
2.CT scanning:
Muhimbili tsh 80,000.-
Ukienda agha khan,regency na hindu mandal unapigwa sh 360,000.-
3. Kidney dialysis:
Hiyo ndo usiseme.
In short,vipimo hivi day in day out ukienda muhimbili unaambiwa vimekufa, nenda agha khan,hindu mandal na regency,same doctors hao hao wa muhimbili wana handle vifaa hivi private hospitals na kutoa majibu kwa gharama kubwa,mnyonge inabidi augulie tu cant afford.
Kila kukicha technians from Phillips company Uholanzi wanakuja TZ kurekekibisha mashine hizi muhimbili na zinakuwa ok,wakitoka tu zinakufilia mbali, patients wanaendelea wenda private hospitals,doctors wanalalamika vifaa duni.
Tutafika kweli?????

Mkuu you are falling short hapa ulitaka ku-suggest nini?. Kwamba madaktari wana-sabotage vifaa vya muhimbili? na kama ni kweli kwa nini wafanye hivyo?. Sija-dismiss point yako ila ninachojua ni kuwa vifaa vingi vya utabibu huwa vina working duration, sasa kama unacho kimoja na kukifanyia overwork na wakati huo huo hakuna matengenezo mpaka mwaka upite kama ulivosema watu wa Phillips ndiyo huwa wanakuja huoni kuwa ni tatizo la serikali?
 
Mkuu you are falling short hapa ulitaka ku-suggest nini?. Kwamba madaktari wana-sabotage vifaa vya muhimbili? na kama ni kweli kwa nini wafanye hivyo?. Sija-dismiss point yako ila ninachojua ni kuwa vifaa vingi vya utabibu huwa vina working duration, sasa kama unacho kimoja na kukifanyia overwork na wakati huo huo hakuna matengenezo mpaka mwaka upite kama ulivosema watu wa Phillips ndiyo huwa wanakuja huoni kuwa ni tatizo la serikali?

Wasi wasi wangu ni nini hasa kinasababisha mashine za dialysis,ct scanner na MRI kila kukicha muhimbili zimekufa , opearators kwa maana ya technicians , wasoma majibu kwa maana ya doctors ambao wanasimamia mashine hizi za muhimbili ndo more or less unawakuta hao hao regency,agha khan na hindu mandal wanapiga mzigo?
Mkuu unataka tutajane kwa majina hapa? Twajuana ati.
 
Ccm your tired!

Waitu washobya,kila kitu si vyema ukakiamulia kwenye prism hiyo,wakati mwingine weka 'siasa' pembeni na tuangalie uhalisia wa maisha yetu ya kila siku.
Wamiliki wa agha khan,regency na hindu mandal unawafahamu? Do you know nini kinaendelea nchi hii katika industry ya huduma ya afya?
 
Kwani ma drs wamesema wanataaluma wengine hawafai? Mimi lawama nazielekeza kwa wanasiasa, mfano juzi tu cag kaibua madudu ya upotevu wa hela adhabu ikawa ni kuwaondo wizarani eti, ktk upuuzi kama huu kwanini tusiwe na migao ya maji na umeme?
 
Sina tabia ya kufungua nyuzi jukwaa la siasa (JLS), anga zangu ni mmu na chi chat.
Lakini katika hili la hospitali ya muhimbili kwa kuwa naijua vyema naomba niseme haya yafuatayo:
1.MRI ( magetic resonance imaging):
Mashine hii muhimbili ipo,gharama za kipimo ni sh 120,000.-
Ukienda agha khan,regency na hindu mandal unapigwa sh 540,000.- kwa kipimo.
2.CT scanning:
Muhimbili tsh 80,000.-
Ukienda agha khan,regency na hindu mandal unapigwa sh 360,000.-
3. Kidney dialysis:
Hiyo ndo usiseme.
In short,vipimo hivi day in day out ukienda muhimbili unaambiwa vimekufa, nenda agha khan,hindu mandal na regency,same doctors hao hao wa muhimbili wana handle vifaa hivi private hospitals na kutoa majibu kwa gharama kubwa,mnyonge inabidi augulie tu cant afford.
Kila kukicha technians from Phillips company Uholanzi wanakuja TZ kurekekibisha mashine hizi muhimbili na zinakuwa ok,wakitoka tu zinakufilia mbali, patients wanaendelea wenda private hospitals,doctors wanalalamika vifaa duni.
Tutafika kweli?????
bwana bishanga haya ni mapambano yasiyo na tija mnayojaribu kurefusha bila kutafuta ufumbuzi. the government tries to deceive the aggrieved in this saga by using the weaked people like you whome without forcing me i wanted not to call. a doctor is not by law prohibited to own da personal enterprise so as to sustain his subsistence. you have to advise the gvt not to keep beguiling citizens and repudiating the constructive views from citiens and engulfing the views of the weaked like you. obagambile ebintu byatama.
 
hawa madokta saa ingine wanakatisha tamaa ,tunaotumia mahospitali ya serikali yametukuta mengi tu ,maana huwa wanakudharau sana sana ,unaweza ukaingia ndani yeye akatoka ,kurudi kwake ni baada ya masaa.Kama hujampenyezea chochote basi utaondoshwa njiani uwapishe wenye hela ya kumpa.

Wanaofika mahospitali haya wakiwa wajawazito ndio usiseme ,mtu anazalishwa kwa nguvu na mijineno juu ,saa ingine ukifikiria unaweza kusema bora yawakute,liwalo na liwe.
 
Bishanga acha wote waondoke, MUNGU atajua cha kufanya ni bora tuanze na Wazalendo wenye moyo wa kuijenga nchi sio hawa wanaotaka maslahi kwanza.
Kwanza mm mtu wa kijijini huko Muhimbili sitafika kwani ni 0.03 ya Watanzania milioni 45 ndio wanaofika hapo, kwa hiyo hata hizo mashine wakiziCollapse sisi tutavuna na miti shamba ya mababu tutatumia
Kwa ufupi hao MaDr waresign labda Nchi itatulia maana hata hayo maandamano ya j3 hayana tija kwani FFU wanajifua nao wanatamani huo mshahara wa 7,7m au nao wagome wanashindwa

Ukwaju!
Wewe hujui unachozungumza. Your silliness and the **** about Uzalendo ndio umetufikisha hapa tulipo . The doctors are not saying that they are the most important professionals in this world. They low pay and disregard for employers to meet their basic needs is where the problem is . They Ned a fair deal. The failed ccm republic of Tanzania is to blame.
Some of you talk **** about wito and so forth. Doctors are hoping from one hospital to another .
Anaanza kazi asubuhi mpaka saa name Mhumbili, from saa Tisa mpaka saa 12 jioni anakuwa Regency halafu anakwenda Massana saa mbili usiku. Do you know why serikali kutokuwalipa mishahara na kuwapa peanuts inawafanya wawe wamachinga.

Kuhusu Vitendea kazi huwezi kununua CT scan moja tu utarajie kwamba ikafanywa kazi bila service plus hata kuzimwa halafu uwepo for ever.

The solution ni kuwa na nyingi at least Kila hospitali ya teule iwe nayo moja . The same should apply to all strategic equipments.

When you dont have national standards or even benchmarks unatarajia ubora upi? The bottom line tuwe na Regulator of medical practice ili mambo Kama Bei yaweze kuwa Regulated.
 
Waitu washobya,kila kitu si vyema ukakiamulia kwenye prism hiyo,wakati mwingine weka 'siasa' pembeni na tuangalie uhalisia wa maisha yetu ya kila siku.
Wamiliki wa agha khan,regency na hindu mandal unawafahamu? Do you know nini kinaendelea nchi hii katika industry ya huduma ya afya?
Mkuu achana nao hao jamaa ambao ni vipimbi vya taaluma.
Kidigree chenyewe kimoja na hata experience ya miaka 10 kazini hawana.
Sasa wanaanza kuota moto wa kudharauliwa na waTanzania wenyewe.
Waachieni waandamane na wakipita mitaa yangu nawarushia rambo la kinyesi cha mgonjwa wangu.
Just for good measure.
 
Hii ni nchi ya kitu kidogo, ni nchi ya watu wadogo.
Kinachotakiwa ni kufanya maamuzi na sio kuishia kulalamika tuu kila siku,.
 
Back
Top Bottom