NIMEKIMBIA CCM
Senior Member
- Oct 4, 2011
- 193
- 26
Jaman inauma sana kwan tunaoza taratibu na badae 2tapotea kabisa.hv watanzania 2limkosea nn Mungu?angalien jaman suala linalo2husu kwa aslimia zote 2naliangalia 2,wa2 wanaendelea na shughuli zao kama kawaida kana kwamba hakuna hatar yoyote iliyopo mbele ye2,HIV SI MITANZANIA MBONA 2NAKUWA MIJINGA SANA KWANI HUYO JK NDO NANI,kweli jaman 2naogopa hata hl hak ya kweli 2TAJUTIA CC NA KZAZ CHETU JAMAN 2AMKE WATz.kwa kweli kuna umuhmu wa nguvu ya umma.WATANZANIA NI BORA 2PIGANE ILI 2MTOE MSHENZ PALE IKULU KULIKO KUendelea kuteseka,NIMEAMIN CC WATZ NI WAJINGA.shame on us.hakika watanzanha ni Wajinga mno,NAJUTA KUWA MTANZANIA BORA NNGEKUWA MLIBYA NIKAJUA MOJA,KULIKO KUJIDAI NINA AMANI KUMBE AMANI BANDIA,..(bora kuwa na 500 halal kuliko kuwa na 50000000,bandia)
kazi kuongea sana 2 na uchawi,kama n wachaw c 2muondoe jk
kazi kuongea sana 2 na uchawi,kama n wachaw c 2muondoe jk