WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
Tanzania haina vipimo vya kazi.Wala sizungumzii upuuzi kama Opras no. Hebu anagalia kiongozi anaweza kufanya jambo lisilo na tija , likailetea nchi hasara lakini hakuna wa kumwuliza matokeo ya alichofanya. Hivyo hivyo huko maofisini kwao hamna uwajibikaji na hakuna wa kumwuuliza mwienzake maana wote wako hivyo hivyo.
Mimi napiga kazi mahali fulani , najituma sana kibinafsi maana nimeona wenzetu huko nje wanavyofanya, ila sehemu hii ya kazi inaboa sana . Wakuu ni wabinafsi, wana upendeleo wa wazi wazi na mishahara sio even . Mimi na kimaster changu naona upuuzi, nimeamua kufanya biashara ambayo natumia muda wao mwingi kuimonitor. Sababu ni kuwa haka kabishara kananijali zaidi kuliko mwajiri wangu wa sasas. This is how life is in Bongo.
Una point ndugu.
Bila kukuhukumu wala nini, je unaonaje kama ungeacha kazi hapo ili ama uwe na muda zaidi na biashara yako au utafute mwajiri mwingine anayekujali.Nadhani kuendelea kuwa mguu mmoja ndani na mwingine nje hujitendei haki wewe mwenyewe wala huyo mwajiri asiyekujali.Huenda kuondoka kwako pia kungempa mtu mwingine nafasi.
Samahani lakini.