Kang
JF-Expert Member
- Jun 24, 2008
- 5,482
- 2,226
Kwa ukweli usimamizi wa kazi ni mbovu sana Bongo.
Wenzetu wana time-sheets na performance reviews hata kwa wabeba box!! Ukichelewa hata dakika kumi inakua noma! Ukifanya ndo tabia lazima uitwe na HR manager!! Cant even imagine eti uchomoke lisaa lizima ukanywe Chai! ukirudi hauna kazi.
Vilevile watu wana lead by example, ukimwona supervisor wako amekamata ufagio anasafisha duka unajua watu wako serious.
Wenzetu wana time-sheets na performance reviews hata kwa wabeba box!! Ukichelewa hata dakika kumi inakua noma! Ukifanya ndo tabia lazima uitwe na HR manager!! Cant even imagine eti uchomoke lisaa lizima ukanywe Chai! ukirudi hauna kazi.
Vilevile watu wana lead by example, ukimwona supervisor wako amekamata ufagio anasafisha duka unajua watu wako serious.