Utafiti usio rasmi unaonesha kuwa Watanzania wengi huwa hawaendi kazini siku za Ijumaa isipokuwa kwa wale walioajiriwa katika sekta binafsi. Wale wanaokwenda kazini husemekana huenda kujionesha tu.
Wakati huo huo kilio cha Waislamu cha kutaka siku ya Ijumaa iwe ya mapumziko kimewafikia viziwi na vipofu na hakuna yeyote anayeona umuhimu wake. Hata hivyo, Waislamu sasa wameanza tabia ya kususa vikao vyote vinavyofanyika siku ya Ijumaa wakisema huku ni kuidharau siku hiyo adhimu kwa wanaimani hao.
Wao wanaamini kwamba Ijumaa ingelikuwa siku ya mapumziko kila baada ya wiki moja wakipokezana na siku ya Jumapili. Hii ina maana wiki hii Ijumaa ikiwa mapumziko basi wiki Ijayo ni Jumapili ndiyo itakyokuwa mapumziko.
Naona hili mlizungumze wanajamii ili tuweze kuwa watenda haki kwa dini zote mbili kubwa nchini.
Wakati huo huo kilio cha Waislamu cha kutaka siku ya Ijumaa iwe ya mapumziko kimewafikia viziwi na vipofu na hakuna yeyote anayeona umuhimu wake. Hata hivyo, Waislamu sasa wameanza tabia ya kususa vikao vyote vinavyofanyika siku ya Ijumaa wakisema huku ni kuidharau siku hiyo adhimu kwa wanaimani hao.
Wao wanaamini kwamba Ijumaa ingelikuwa siku ya mapumziko kila baada ya wiki moja wakipokezana na siku ya Jumapili. Hii ina maana wiki hii Ijumaa ikiwa mapumziko basi wiki Ijayo ni Jumapili ndiyo itakyokuwa mapumziko.
Naona hili mlizungumze wanajamii ili tuweze kuwa watenda haki kwa dini zote mbili kubwa nchini.