Watanzania wavamiwa na kupewa kichapo Ugiriki

hahaha, yaani ugiriki unakula raha? raha gani hapo rafiki yangu nchi inafilisika dunia nzima tunaona? hivi ungekaa America na canada ambako nimekaa miaka mingi si ndo ungejiona upo mbinguni?...kwa kifupi wewe ni limbukeni mtupu....si kwamba sisi wengine hatujaishi huko, tumeishi na tumeshafanya sana hizo kazi za mabox na kulelewa na wanawake wakizungu matajiri....tulishatengeneza hela lakini yote kwa yote, hakuna sehemu mwafrika anapata heshima na raha kama africa..ulaya ni dharau mtindo mmoja na hakuna maisha ya raha kwa mwafrica. ona sasa mnavyotia huruma hata kwenye picha tu, mmechokaaaa.....rudi hapa home na icho kidogo ulichokipata ujenge walau sehemu ya kufikia, ukifa utawekwa kwenye kibanda cha nani? njo uweke miradi hapa, kuna pesa nyingi kuliko huko kwa wazungu..sisi wengine tulishastaafu muda mrefu kubeba mabox....kalagabaho.

Kwenye red umeongea pumba,blue umeongea point...Unaongea kitu usichokijua huko unakosifia US na Canada mtu akifa mna changishana nchi nzima ndio msafirishe maiti kuzikwa nyumbani na mara nyingi hazitimii,lakini misiba yote ya Ugiriki kwa hali na mali watu wanasimama kidedea mpaka maiti inasafirishwa...Nimeshuhudia watu wakitoka US,Canada na hata UK akifika ugiriki anashangaa watu wanavyoisha...Huwezi kuwa mwanaume uliyekamilika unasimama mbele za watu bila aibu unajisifu kuwa umewekwa ndani na tipwa tipwa la kizungu 'what a shame!'

Kweli sasa hivi Ugiriki imechoka tena sana,na Dunia nzima inalijua hili.
 
hahaha, yaani ugiriki unakula raha? raha gani hapo rafiki yangu nchi inafilisika dunia nzima tunaona? hivi ungekaa America na canada ambako nimekaa miaka mingi si ndo ungejiona upo mbinguni?...kwa kifupi wewe ni limbukeni mtupu....si kwamba sisi wengine hatujaishi huko, tumeishi na tumeshafanya sana hizo kazi za mabox na kulelewa na wanawake wakizungu matajiri....tulishatengeneza hela lakini yote kwa yote, hakuna sehemu mwafrika anapata heshima na raha kama africa..ulaya ni dharau mtindo mmoja na hakuna maisha ya raha kwa mwafrica. ona sasa mnavyotia huruma hata kwenye picha tu, mmechokaaaa.....rudi hapa home na icho kidogo ulichokipata ujenge walau sehemu ya kufikia, ukifa utawekwa kwenye kibanda cha nani? njo uweke miradi hapa, kuna pesa nyingi kuliko huko kwa wazungu..sisi wengine tulishastaafu muda mrefu kubeba mabox....kalagabaho.

Wivu mbaya sana!.. pole mkuu..
 
mbona mnahangaika ivo? mnafanya nini kwa watu nyie? rudini home mjenge nchi yenu...ona sasa mnahangaikahangaika tu ugenini huko? nini mmefata huko? hadi mnataka kuzeekea huo, ona wengine wameshakuwa wazee, manafanya nini ugenini?

Mkuu! Nini kilichokufanya useme wamechoka...?

Ulitaka wavae ninii??

Kila mtu ana maisha yake acha kupangia watu waishi vipi?

Yeye ka settle Greece kaona kuna afadhali kuliko hapo bongo let him be..

Jenga weye hiyo nchi yako inatosha usilazimishe wengine
 
MCHANA HUU FUJO ZIMEANZA TENA NA KUONGEZEKA KATIKA JUMUIYA YA WATANZANIA UGIRIKI IMESABABISHA VIONGOZI WETU WA 2 MWENYEKITI NA KATIBU WETU WA COMMUNITY KUPIGWA PINGU NA KUPELEKWA KITUONI..

Kilichosababisha kuchukuliwa katibu na mwenyekiti ni askari kaleta kisirani kwani katibu alikuwa anawapiga picha polisi na huyu polisi ndio alikuwa kiongozi wa msafari na hakujua aliyekuwa anapiga picha ni nani ndio akatoa amri akamatwe,na kilicho washughulisha sana polisi ni kwa kuwa kabla ya uvunjaji wa ofisi ndani walikuwepo wa-Tanzania kama nane walichofanya polisi ni kuwaokoa wale wa-Tanzania na huku nyuma ndio uharibifu ukatoke na kuna mtu alikuwa akichukua picha na moving camera bila polisi na wahalifu kujua...na muda huo walikusanyika watu wengi hasa wa-Afrika kutoka mataifa tofauti ikawa imefikia hatua kuwa liwalo na liwe hatukubali kuonewa na ikapatikana support ya vyama vya kisiasa km KKE ambacho ni chama cha kikomonisti
na chama kilicho shika nafasi ya pili katika uchaguzi mkuu ulipita SYRIZA....watu wa mataifa mbalimbali walikaa nje ya ofisi ya Jumuiya mpaka usiku mwingi na kadiri muda ilivyokuwa ukisogea na watu walikuwa wanaongezeka.

Taarifa ilipelekwa ubalozini lakini kama tunavyozijua balozi zetu hakuna sababu ya kusema mengi,zinaeleweka.

Hatua nzuri ni kuwa amepatikana mwanasheria wa kulisimamia hili jambo na hata watu wa Television wamefika katika ofisi ya Jumuiya na kufanya mahojiano na baadhi ya wa-Tanzania.
 
bonds304x171.gif


Eurozone leaders are worried that if Greece were to default, and even leave the euro, it would cause a major financial crisis that could spread to much bigger economies such as Italy and Spain.

MGiriki anaongoza kwa kukopa sana katka nchi za ulaya akifuatiwa na M-Portgal kisha M Irelanda kisha M Italy kisha M-Spain kisha M-France kisha M-Germany.
 
watazunguka sana huko mwisho wa siku wanarudi nyumbani na shati begani, kazi kufanya ngono na wazungu tuuuu kumbe mfukoni hawasave. kwa wale waliofika ugiriki, hakuna mtu mwenye akili anayeweza kujisifia kuishi ugiriki kuliko tz. nilitoa mfano mzuri wa america na canada hapo, jamaa kaja na usemi ati watu walioko US wakifa hawasafirishwi...hahaha. tulichokuwa tunaongea ni kuwa, hata kama kuna kubeba box, ukibeba box america na canada utapata hela hiyo ya box mara mbili au hata tatu zaidi ya ile ambayo mnaipata hapo ugiriki, ndo maana nilisema kuwa, tulishapita kote huko na sioni maana ya nyie kujisifia ugiriki kuliko nchi yenu tz yenye maziwa na asali. rudini home kabla hamjazeeka, au mnaogopa mtafikia wapi? mmejenga walau kibanda cha kufikia mkija au mnafikia hotelini....
 
Wivu mbaya sana!.. pole mkuu..
yaani nimwonee wivu mbaba mabbox, tena nchi iliyofilisika inatapatapa, ajabu kweli. labda kama zamani ambapo mlikuwa mnaishi bila kulipa kodi pengine ndo hata mlijaribu kufanya kabiashara mlikuwa mnapata kidogo, lakini kwasasa, bora tu mrudi home washiikaji......
 
Streets of fire: Protesters set policeman alight as riots erupt in Athens


Rally of 30,000 in capital turns nasty as petrol bombs are hurled at police

Central Bank of Greece attacked, and paving stones smashed

Protesters chat 'Don't obey the rich - fight back!'

Level of 'anger and desperation' increasing, warns union leader

Also scuffles in Greece's second-largest city, Thessaloniki

WARNING GRAPHIC CONTENT

Protesters clashed with police today in the Greek capital, Athens, as a 24-hour general strike gripped the financially hit country.

More than 30,000 demonstrators clashed with police near to the Greek parliament buildings, and hurled petrol bombs and stones, causing a dramatic inferno.

To combat the angry protesters, who are unhappy about severe budget cuts, the police sprayed the crowd with tear gas and used stun grenades - but that served to only inflame the situation.


article-1359891-0D5360EB000005DC-57_634x452.jpg

Agonising: A policeman makes a desperate attempt to help his colleague who caught fire after protesters threw a petrol bomb in Athens


article-1359891-0D531160000005DC-511_634x286.jpg


Help me! The policeman attempts to rip off his burning helmet


article-1359891-0D5322E8000005DC-285_634x453.jpg


Attack: A policeman on a motorbike writhes in agony as he is hit with a petrol bomb. His colleague looks on not knowing how to react



The rally in the capital was part of a general strike that crippled services and public transport around the country.

Thousands of peaceful demonstrators ran to side streets to take cover. A police officer was attacked and his

uniform caught fire in the city's main Syntagma Square, and his motorcycle was burned.

At least two people were injured and another three arrested. One group of rioting youths smashed paving

stones in front of the central Bank of Greece, but there were no immediate reports of any serious damage.


The rally had been calm before the clashes. Protesters were chanting: 'Don't obey the rich - fight back!'




article-1359891-0D53376D000005DC-952_634x410.jpg







Lining up: The battle lines in Athens are drawn as the riot police prepare to defend themselves against the angry mob
article-1359891-0D533A18000005DC-729_634x378.jpg

Fight back: A demonstrator wearing a gas mask kicks away a tear gas canister, which was thrown over by the police





article-1359891-0D530DEF000005DC-357_634x447.jpg


Defiant: The rioters, who are angry and desperate after the government's proposed budget cuts, continued to march near to the Greek parliament




article-1359891-0D532831000005DC-161_306x423.jpg


article-1359891-0D4F222E000005DC-987_306x423.jpg

On fire: A policeman tries to beat the fire which is engulfing him (left), while a loud hailer shows flecks on blood - the sign of violent clashes - in front of the Greek parliament

They marched to parliament as the city centre was heavily policed. A brass band, tractors and cyclists joined in.

It was part of Greece's first major labour protest this year as Prime Minister George Papandreou faces

international pressure to make more lasting cuts after the nation's debt-crippled economy was rescued from

bankruptcy by the European Union and the International Monetary Fund.


Athens riots erupts as Greek protesters set policemen on fire | Mail Online
 
[SUP] SPECIAL OLYMPICS.jpg
[/SUP]June 25-mpaka July 4, 2011...Ilifanyika 'SPECIAL OLYMPICS' Athens na hawa ndio walikuwa wawakilishi wetu wakiwa wamekaribishwa katika katika jengo linalotumiwa na jumuiya ya Tanzania-ugiriki.
MATEMBEZI AKROPOLI.jpg

Hapa vijana wetu wakiwa matembezini sehemu yenye historia kubwa Akropolis

KHADIJA KOPA ATEMBELEA OFISI YA JUMUIYA YA WATANZANIA UGIRIKI.jpg

Malkia wa Taarabu Khadija kopa akiwa na watoto wa ki-Tanzania alipotembelea jengo la jumuiya ya wa-Tanzania

SHEREHE ZA UHURU.jpg
Vijana wetu wakiandaliwa kuwa wazalendo hapa ni moja kati ya sherehe za Jumuiya ya wa-Tanzania Ugiriki.

KHADIJA KOPA.jpg

MICHEZO KATIKA JUMUIYA.jpg

Vijana wakifurahia michezo katika jengo la Jumuiya ya wa-Tanzania Ugiriki
 
Sii ajabu haya mashambulizi ya Ofisi ya Umoja wa Watanzania huko Ugiriki yanahusiana na kifo cha yule Daktari wa Kigiriki aliyeuwawa kinyama mikononi mwa vibaka mtaani kule Upanga, Dar es Salaam siku mbili tu kabla, na inawezekana kabisa yalikuwa ni malipizi ya tukio hilo haramu.

HALAFU MNGEBANDIKA PIA PICHA YA YULE MDADA WA KIGIRIKI ALIYEKUWA DAKTARI AMBAYE ALIPOTEZA MAISHA YAKE BURE TUU UPANGA DAR ES SALAAM BAADA YA VIBAKA WALIOKUWA KWENYE GARI KUMBURUZA HUKU WAMESHIKILIA BEGI LAKE LA MGONGONI. NA HADI LEO HAKUNA MTU YOYOTE ALIYEKAMATWA KUHUSIANA NA MAUAJI YA HUYO DAKTARI WA KIGIRIKI.
 
Wakati Huu hakuna haja ya kujilazimisha kuwa vijakazi ugiriki. Yatakiwa watanzania watafute rizki humu Africa mashariki kuzuia vichapo aina hii.
 
Wakati Huu hakuna haja ya kujilazimisha kuwa vijakazi ugiriki. Yatakiwa watanzania watafute rizki humu Africa mashariki kuzuia vichapo aina hii.

Wacha uongo nchi kama Kenya, SA, na nyinginezo tayari zimewapa kichapo raia kibao kutoka nchi jirani. Kenya waliwafukuza Watanzania mwaka 1977 chacha chijui unaongelea kitu gani wacha wabongo wenyewe wajiamulie wapi wanaweza kuona maisha yao yanawaendea sawia. Hata Mozambique kuna wabongo walifukiwa kwenye machimbo, Japan kuna wabongo walipoteza watoto etc etc .... ..... unaongelea kitu gani wewe EA which EA?

Hatuwezi kuwa makuwadi wa manyang'au wanaotumiwa na wazungu kutaka kuja kuchota utajiri wa Watanzania bila kulipia gharama inavyostahili.

 
Wacha uongo nchi kama Kenya, SA, na nyinginezo tayari zimewapa kichapo raia kibao kutoka nchi jirani. Kenya waliwafukuza Watanzania mwaka 1977 chacha chijui unaongelea kitu gani wacha wabongo wenyewe wajiamulie wapi wanaweza kuona maisha yao yanawaendea sawia. Hata Mozambique kuna wabongo walifukiwa kwenye machimbo, Japan kuna wabongo walipoteza watoto etc etc .... ..... unaongelea kitu gani wewe EA which EA?

Hatuwezi kuwa makuwadi wa manyang'au wanaotumiwa na wazungu kutaka kuja kuchota utajiri wa Watanzania bila kulipia gharama inavyostahili.



Alaah!, hujui Watanzania mkijilazimisha kuishi kule itagadhabisha wale CEO na mabwana wa kigiriki wanaowashuku kuwa mwanyemelea mabibie zao lol, hivi watapandwa na mori zaidi. nyways home is best!
 
View attachment 66164View attachment 66165View attachment 66166

Kwa nini mnan'gan'gania kukaa nchi za watu kama huko box halibebeki??????

Rudini nyumbani, mtakuja kufa bure.....

Wanaokula kichapo huko Ugiriki ni watu wote wakuja iwe toka Tanzania, Misri n.k kutokana na chama chenye siasa za 'Uzalendo -wa- kinazi' soma hapa chini:


26 October 2012

Fear and loathing in Athens: the rise of Golden Dawn and the far right

The-Golden-Dawn-flag-008.jpg

Photo: The flag of Golden Dawn: 'We want all illegal foreigners out of our country, we want the usurers of the troika and the IMF out for ever.' Photograph: Reuters

In austerity-ravaged Greece, neo-Nazi party Golden Dawn is on the rise. Their MPs give fascist salutes, while on the streets black-shirted vigilantes beat up immigrants. And some of their most enthusiastic supporters are in the police


You can hear it from blocks away: the deafening beat of Pogrom, Golden Dawn's favourite band, blasting out of huge speakers by a makeshift stage. "Rock for the fatherland, this is our music, we don't want parasites and foreigners on our land…"

It's a warm October evening and children on bicycles are riding up and down among the young men with crew cuts, the sleeves of their black T-shirts tight over pumped-up biceps, strolling with the stiff swagger of the muscle-bound. They look relaxed, off-duty. Two of them slap a handshake: "Hey, fascist! How's it going?"

Trestle tables are stacked with Golden Dawn merchandise: black T-shirts bearing the party's name in Greek, Chrysi Avgi, the sigma shaped like the S on SS armbands; mugs with the party symbol, a Greek meander drawn to resemble a swastika; Greek flags and black lanyards, lighters and baseball caps. I lean over to talk to one woman stallholder, dressed in Golden Dawn black with thickly kohl-rimmed eyes, but as soon as she opens her mouth a man in a suit strides up: "What are you writing? Are you a journalist? Tear that page out of your notebook. No, no, you can't talk to anyone."

Tonight is the opening of the Golden Dawn office in Megara, a once prosperous farming town between Athens and Corinth. The Greek national socialist party polled more than 15% here – double the national average – in the June election, when it won 18 seats in parliament. (One was taken up by the former bassist with Pogrom, whose hits include Auschwitz and Speak Greek Or Die.)


Such attacks are almost never prosecuted or punished. Ask Kayu Ligopora, of the Athens Tanzanian Community Association, whose premises were vandalised by around 80 "local residents" on 25 September after police walked away. He's lived in Greece for 20 years; for the first time, he says, he's thinking about leaving. Or Hussain Ahulam, 22, who told me how four men with dogs and a metal crowbar left him bleeding and unconscious by the side of the road as he walked home one day. Or 21-year-old HH, a Greek citizen of Egyptian origin, who was beaten on 12 October by three men with chains as he stepped off the trolley bus, and whose sight may be damaged for good.

Or ask @manolis, a blogger for Lifo magazine, who on 11 October went to photograph Golden Dawn's attack on a theatre showing Terrence McNally's Corpus Christi, which casts Christ and the apostles as gay men in Texas. He says four or five people surrounded him in front of the riot police, hit him and spat on him, and put a lit cigarette in his pocket. "A known Golden Dawn MP follows me, punches me twice in the face, knocks me down," he tweeted. "I lose my glasses. The MP kicks me. The police are exactly two steps away." Another MP, Ilias Panagiotaros, stood on the sidelines ranting in front of video cameras: "Wrap it up, you little faggots. Wrap it up, arse-****ers. You little ******, your time has come. You ****ed Albanian arseholes." A third, Christos Pappas, was filmed releasing a man from police custody. He is the only one now under police investigation.

Read more: Source Fear and loathing in Athens: the rise of Golden Dawn and the far right | World news | The Guardian
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom