Watanzania wavamiwa na kupewa kichapo Ugiriki

hahaha, yaani ugiriki unakula raha? raha gani hapo rafiki yangu nchi inafilisika dunia nzima tunaona? hivi ungekaa America na canada ambako nimekaa miaka mingi si ndo ungejiona upo mbinguni?...kwa kifupi wewe ni limbukeni mtupu....si kwamba sisi wengine hatujaishi huko, tumeishi na tumeshafanya sana hizo kazi za mabox na kulelewa na wanawake wakizungu matajiri....tulishatengeneza hela lakini yote kwa yote, hakuna sehemu mwafrika anapata heshima na raha kama africa..ulaya ni dharau mtindo mmoja na hakuna maisha ya raha kwa mwafrica. ona sasa mnavyotia huruma hata kwenye picha tu, mmechokaaaa.....rudi hapa home na icho kidogo ulichokipata ujenge walau sehemu ya kufikia, ukifa utawekwa kwenye kibanda cha nani? njo uweke miradi hapa, kuna pesa nyingi kuliko huko kwa wazungu..sisi wengine tulishastaafu muda mrefu kubeba mabox....kalagabaho.

Mkuu, the end justifies the means. Wewe kama umeshatimiza ndoto zako na ukarudi nyumbani, hongera, lakini usiwakatishe wengine tamaa. Unajua ukweli vizuri na hao wanaujua pia, huwezi kulinganisha maisha ya hapa na majuu hata siku moja, kwa njia yeyote. Labda uwaambie wawekeze hapa investments kama nyumba, kilimo na biashara na hii inashindikana kwa kuwa wanakosa watu waaminifu kuwasimamia miradi yao. Nadhani ndio kilicho kurudisha. Kama unachokisema kina ukweli wasingekusubiria mtu kuwaambia njoeni, wangesharudi siku nyingi. Majuu, hata kama unafanya kazi ya kudharaulika namna gani una uwezo wa kutoka na kuwa tajiri kwa standard za hapa. Lakini hapa watu waliokuwa wengi wamendikiwa umasikini maisha yao yote, kusota na kuishi hand to mouth, watu wapo majuu wamefungwa jela lakini wanaishi vizuri zaidi ya walio wengi hapa. Tusidanganyane mkuu.
 
Ndugu zangu mliopo Ugiriki hivi mnasubiri nini kurudi nyumbani? Mmeishachuma vya kutosha wenzetu wapo juu ya mawe sasa hivi mtakufa bure!Mnaogopa nini kurudi nyumbani?

tatizo nyumbani wengi walishauza kila kitu wakifikiri wataishi huko milele sasa linapokuja swala la kurudi unakuwa mtihani mkubwa sana.
 
hebu tuseme ukweeeli wote, hivi kuishi huko kuna mafanikio na raha? kazi gani mnafanya huko kama si kuwa vibarua na watumwa wa wazungu? mnaajiriwa katika selikali au makampuni binafsi na kupata haki kama waajiriwa? au ni vibarua wa kufagia, kuosha vyombo na choo, na kazi za ajabu ajabu tu ambazo mzungu akiwa nazo anasema hana ajira.....kazi gani unafanya? ninyi mnayo elimu labda tuseme ni madoctor au ma engineer mnafanya kazi na kuheshimiwa kama mgiriki?....hapahaaaa, mnafanya kazi zile ambazo ni left overs, na mkiwa hata mtaani, ninyi ni binadamu wa second class, hampati heshima ambayo mngeipata hapa tz, kwani unafikiri sisi wengine huko ulaya hatujaishi?mtakuwa watumwa hadi lini? au ukiona mzungu anapita mbele yako na wewe unajiona tayari umeshakuwa mzungu wa huko? mnatamani mngekuwa wazungu ehee.....rudini home, mnafanya nini kwa hao wageni....njoni tuendeleze m4c hapa bongo.
blah blah blah....meza mate kidogo kaka acha kutoka povu kwa wivu wa kijinga.hivi hujui kuwa Diasporas wana mchango mkubwa kwa maendeleo ya nchi zao?jambo usilololijua ni kama usiku wa giza,mimi siishi Greece ila maendelo niliyoifanikishia familia yangu huko bongo sio haba.najivunia kwa hilo.
 
249499_122988191181660_1146405411_n.jpg
siku zote nilikuwa nadhani Bw.Mzizi mkavu ni kidingi.leo nimebaini kumbe ni Chalii,Checkbob,Sharobaro,
Brothermen flani hivi.na sina shaka ndio huyu ktk hii image.:yo:
 
Wagiriki wako frustrated na hali mbaya kabisa ya uchumi, sasa wanageuzia hasira zao kwa wageni....
 
Wagiriki wako frustrated na hali mbaya kabisa ya uchumi, sasa wanageuzia hasira zao kwa wageni....



Thursday, 27 September 2012 22:15


Dr Hatzipandazi

By Lucas Liganga
The Citizen Chief Reporter
Dar es Salaam. A wave of drive-by mugging has set the alarm bells ringing in this city of five million people. The attacks are carried out by thieves in vehicles, who cruise down the streets waiting to pounce on unsuspecting pedestrians walking along the roads, the objective being to snatch their handbags.

The handbag raiders operate mainly in affluent areas such as Masaki during the day and move to the city centre in the evenings. The victims, most of them foreigners, complain that the police take no action even when they report the attacks.

Last weekend, a drive-by mugging turned deadly when a 48-year-old Greek medical doctor working with the ministry of Foreign Affairs in Greece, Dr Petroula Hatzipandazi, was killed at Upanga after the muggers grabbed the back-pack strapped to her back and dragged her down the road for about 150 metres. She died later in hospital.

The response from the authorities has been muted, with the police failing to respond to queries on what they are doing to curb the crime wave.

The Hellenic Society of Tanganyika, which takes care of the interests and welfare of Greeks in the country, has expressed concern about the government’s silence over the attack on Dr Hatzipandazi and similar cases.
“At this point, all we expect is at least a message of sympathy from the Tanzanian government or local authorities—a much deserved condolence message to the family of

Dr Hatzipandazi, the Greek government and her colleagues,” said Dimitri Mantheakis, chairman of the Hellenic Society.
A belated response from the ministry of Foreign Affairs and International Co-operation to The Citizen yesterday said it has written to the Inspector General of Police requesting that his office thunt down those involved in the killing of Dr Hatzipandazi.
The letter is copied to the Chief Secretary, the Ministry of Home Affairs and the Embassy of Greece in the Kenyan capital, Nairobi.

“We have received with shock the news of the killing of the Greek woman diplomat,” Permanent Secretary John Haule told The Citizen in a telephone interview. “We hope the culprits will be arrested and prosecuted.”

The ministry also received information that a second woman was recently mugged in Dar es Salaam. “We have instructed the IGP to make serious follow-ups on these incidents that might tarnish the good name of our country,” added the PS.
The Dar es Salaam Special Zone regional police commander Suleiman Kova yesterday declined to comment on what the police were doing to curb the muggings. He would not confirm whether or not the CCTV cameras installed in the streets were working. “We will talk to the media tomorrow and give details on the issue,” Mr Kova said.

But the Ilala Regional Commander ACP, Marietha Minangi, was more forthcoming, and told The Citizen on Monday that investigations into the death of Dr Hatzipandazi were underway.

An email response from Ambassador E. Kouvaritakis, who also covers Tanzania after the closing of the Greece Consulate here, said Dr Hatzipandazi’s body will be flown to Greece tonight.

In an effort to press for action to stem drive-by muggings in the city, a group of former victims have started a facebook page HYPERLINK “https://www.facebook.com/groups/166388156831623/” https://www.facebook.com/groups/166388156831623/ where people post their experiences.

Dr Hatzipandazi was in charge of a group of 33 Greek medical doctors and professors visiting Tanzania on a volunteer mission to help the sick in rural Iringa at the invitation of the office of Patriarchate of the Greek Orthodox Church mission based in Alexandria, Egypt.

According to Mr Mantheakis, the Dar es Salaam chapter of the Hellenic Society organised a farewell dinner on Sunday for the visiting doctors at the Parthenon Hall opposite the Red Cross Society of Tanzania headquarters. Dr Hatzipandazi and her colleagues, who were staying at the Palm Beach Hotel, left the hotel at 7.30pm and decided to walk to the hall.

“Little did the doctors imagine that outside Upanga Club a private car, with somebody hanging out up to his waist, would drive by and grab her little back- pack containing her meagre personal belongings, including her passport and phone,” said Mr Mantheakis.
The diplomat called on the government of Tanzania to ensure that Dar es Salaam is not reduced to the status of an unsafe African city.

He added: “Let all the progressive citizens of this great city today challenge ourselves in helping educate our youth that every visitor who comes to Dar es Salaam is a visitor to all of us and we have an obligation to help our guests as much as possible and also protect them as we would expect to be protected when we visit their countries. Let every visitor go back with good memories and respect for all that was extended to them by their hosts.”
 
Ndugu zangu mliopo Ugiriki hivi mnasubiri nini kurudi nyumbani? Mmeishachuma vya kutosha wenzetu wapo juu ya mawe sasa hivi mtakufa bure!Mnaogopa nini kurudi nyumbani?

Maisha ni magumu tena sana kwa wakati huu nchini Ugiriki lakini pamoja na misha magumu aliyonayo mgiriki sisi wa-Tanzania sijui maisha kama haya tutakuja kuyafikia lini.....I mean hii njaa iliyoko Ugiriki haifanani na neema iliyoko Tanzania.

Mkuu kumkadiri mtu kuwa arudi kwa kuwa kashachuma si sahihi,kuna watu wametoka mikoani kuja Dar es salaam na mpaka leo ....ni yale ya- miaka mingi tumepoteza jiji Dar es salaam mikono mitupu tutarudi vipi?

Halafu kufa mwanadamu anaweza kufa popote,mfano yaliyotokea Iringa.
 
Kasumba ya kufikiri ulaya ni pepo ya dunia. Ulaya ya sasa ni tofauti, hawana nafasi tena kwenye dunia hii ya utandawazi. Maisha yanaweza kukunyookea popote siku hizi.

Kweli Ulaya sio pepo ya Dunia lakini Ulaya ni Ulaya ndio maana hata walioshika Dola watoto wao wengi wako mbele na wakiumwa mbiooo! Peponi........Lakini ni kweli maisha ni popote hasa Bongo tamu sana ukiwa nazo.
 
Aisee Ugiriki hata sijui hatima yake itakuwaje, wafanyakazi karibia sekta zote muhimu wamegoma, ghasia karibia nchi nzima mlioko huko kuweni makini sana,yakiwashinda rudini tu nyumbani

Vurugu kama uliona katika tv zilitokea nje ya Bunge waliandamana na kufanya fujo kwani kuna pesa ili Serikali ya Ugiriki ikopeshwe ni lazima ionyesha itazilipa vipi na jinsi ya kuzilipa ni kupunguza mishahara na marupuru,na kibaya zaidi gharama za maisha zinapanda na mapato yanapungua.....sasa ndio wanauliza tutaishi vp? But no way out.
 
Kwa nini mnan'gan'gania kukaa nchi za watu kama huko box halibebeki??????

Rudini nyumbani, mtakuja kufa bure.....

Mleta uzi umekuja na hasira hukusubiri upate habari kamili..........umekuwa kama afisa uhamiaji umeinuka tu na kutoa amri watu warudi makwako....hata mpangaji akitaka kutoka anapewa muda sembuse watu wanaoshi na wana watoto wamezaliwa na wanasoma Ugiriki...inabidi tujue kilichotokea kimesababishwa na nini then tunaweza ku-judge ni hatua gani ifuate.
Halafu kufa,popote mwanadamu atakufa wakati ukifika.
 
Ugiriki hali ngumu sana saizi mzungu analalia skonzi.
Sema mkuu hawa jamaa wacha yawakute,walikuwa wanachezea neema-Wakulima na wafugaji wakifanya maandamano walikuwa wana-mwaga maziwa maelfu ya lita wanavuja mayai mababarani yasiyo idadi leo mgiriki anasubiri super market ifungwe na mtupa taka kabla hajafika au katika pipi la taka unakuta mtu anatazama kilichotupwa km ni mikate iliyo anza kukauka,makopo yalibonyea,matunda yalioanza kunyauka.....Akitokea msamaria mwema kugawa viazi na vitunguu utashanga foleni yake.
Then kodi hawa jamaa walikuwa hawalipi kodi pia kimewaumiza sana.
 
aliyevamia ni nani?
Kuna chama chenye sera z kibaguzi kina itwa XRIS AVGIS au GOLDEN DOWN hawa jamaa wanaamini Ugiriki ni kwa ajili ya wa-Giriki.....lakini wanajitoa fahamu kuwa wao wako kila pembe ya Dunia.
ndio wanatuhumiwa kwa uhalifu huu na sio kuwa labda wamefanyiwa wa-Tanzania tu,hapana....kuna bar ya wa-Cameron pia imeharibiwa vibaya.
 
Hivi kumbe huko Ugiriki kuna Wamatumbi wengi hivyo...halafu kuna kipindi nadhani 2010 nilisikia watu wanapewa uraia huko sasa sijui na nyie ndugu zetu mlibahatika kuwa wana EU

Mkuu wamatumbi wengi Ugiriki lakini hawafikii hata robo ya Wadosi walioko Bongo na issue ya uraia haikuwepo ni habari za redio za mbao.
 
Ni ubaguzi hakuna kingine.Maisha yao yamekuwa duni na pengine wanaona choyo kuona watu weusi kuwa na biashara na pengine wao hawawezi kuwanacho.Kiukweli tu sio nchi ya kukaa na kwa mtizamo wangu TZ kuna oportunities zaidi.

Kweli mkuu kilicho nyuma ya tukio hili ni ubaguzi hakuna kingine na kiukweli hili tukio limepokewa na mshtuko mkubwa na imekuwa kama wake-up call.
Na kuna watu wamekaa muda mrefu bila kurudi nyumbani kwa sababu moja ama nyingine....na kwa kipindi hiki kila anayekuja nyumbani na kurudi Ugiriki basi ujumbe ni kuwa nyumbani maisha yapo 'opportunities' zipo nikujipanga tu.....na kuna kundi kubwa la ambao bado hawajawa tayari kurudi nyumbani basi wamehamia nchi nyingine.
 
Lakini hawa jamaa wamekuwa kwenye maandamano na mapambano na Polisi muda mrefu na jana walikuwa wakirusha mawe na wapizidi kupambana na Polisi so inawezekana hayo ya watz yamekutana na dhahma hiyo!!!!

Mapambano ya polisi na waandamanaji yalitokea takribani kilometers tatu toka ilipo ofisi ya jumuiya ya wa-Tanzania,ni matukio mawili tofauti.
 
mbona mnahangaika ivo? mnafanya nini kwa watu nyie? rudini home mjenge nchi yenu...ona sasa mnahangaikahangaika tu ugenini huko? nini mmefata huko? hadi mnataka kuzeekea huo, ona wengine wameshakuwa wazee, manafanya nini ugenini?

Watu wanahangaika kwa sababu ya maisha,na sio kweli kuwa wanahangaika ovyo kilichopo hapa na unachozungumza havifanani.....hawa waliokuwa nje hata wakirudi mchango wao ni mdogo sana kujenga nchi....Tupiganie yale mambo ya EPA...DOWANS..SHIMBO...ZILIZOKO USWISS zirudi askari wasiuwe watu wasio na hatia...na mwisho kuzeeka ni kuzeeka tu,uwe mjini,kijijini ni sawa tu.
 
Back
Top Bottom